Kujua kuongea sio kigezo cha kuwa msomi

Jun 26, 2015
56
21
Kumekuwa na mtazamo hasi ya kuwa " mtu asipojua Kuongea vizuri kiingereza basi watu wanamcheka na kumuona mjinga ata kama mtu uyo ni msomi sana ( daktari n.k ).

Mimi naona tunakosea sana, Kujua ama kutokujua lugha Fulani haiwezi kuwa kigezo cha kuitwa msomi au mjinga. Kiingereza ni lugha kubwa duniani lakini ina fanya kazi Sawa na kiswahili, kurahisisha mawasiliano.

Kunasahau kuwa sifa kubwa za mtu kuitwa msomi ni kuwa na maarifa, ujuzi, uzoefu na tabia njema. Tunaenda shule kutafuta ivyo vitu ( maarifa, ujuzi, uzoefu na tabia njema ) ili tuweze kuishi vyema kwenye mazingira yetu !!

Kuache kutukuza vya wenzetu huku tunasahau vyakwetu !!

#TanzaniaKwanza
 
Kumekuwa na mtazamo hasi ya kuwa " mtu asipojua Kuongea vizuri kiingereza basi watu wanamcheka na kumuona mjinga ata kama mtu uyo ni msomi sana ( daktari n.k ).

Mimi naona tunakosea sana, Kujua ama kutokujua lugha Fulani haiwezi kuwa kigezo cha kuitwa msomi au mjinga. Kiingereza ni lugha kubwa duniani lakini ina fanya kazi Sawa na kiswahili, kurahisisha mawasiliano.

Kunasahau kuwa sifa kubwa za mtu kuitwa msomi ni kuwa na maarifa, ujuzi, uzoefu na tabia njema. Tunaenda shule kutafuta ivyo vitu ( maarifa, ujuzi, uzoefu na tabia njema ) ili tuweze kuishi vyema kwenye mazingira yetu !!

Kuache kutukuza vya wenzetu huku tunasahau vyakwetu !!

#TanzaniaKwanza
Fact!! Mimi sikuenda chuo kujifunza kiingereza, nilienda chuo kutafuta taaluma ya uhandisi!; Kiingereza ni lugha niliyozaliwa nayo ..
 
Kumekuwa na mtazamo hasi ya kuwa " mtu asipojua Kuongea vizuri kiingereza basi watu wanamcheka na kumuona mjinga ata kama mtu uyo ni msomi sana ( daktari n.k ).

Mimi naona tunakosea sana, Kujua ama kutokujua lugha Fulani haiwezi kuwa kigezo cha kuitwa msomi au mjinga. Kiingereza ni lugha kubwa duniani lakini ina fanya kazi Sawa na kiswahili, kurahisisha mawasiliano.

Kunasahau kuwa sifa kubwa za mtu kuitwa msomi ni kuwa na maarifa, ujuzi, uzoefu na tabia njema. Tunaenda shule kutafuta ivyo vitu ( maarifa, ujuzi, uzoefu na tabia njema ) ili tuweze kuishi vyema kwenye mazingira yetu !!

Kuache kutukuza vya wenzetu huku tunasahau vyakwetu !!

#TanzaniaKwanza
Ila na Kama umefika kiwango hicho Cha Elimu na Bado huna command nzuri ya lugha ya malikia,lazima tukutilie mashaka kidogo,
Umesoma kizungu toka Darasa la tatu mpaka Chuo kikuu,na Bado kizungu kikupige chenga?!we utakuwa kilaza tu,Kama lugha imekushinda hayo mengine utakuwa umekalili tu
 
Kumekuwa na mtazamo hasi ya kuwa " mtu asipojua Kuongea vizuri kiingereza basi watu wanamcheka na kumuona mjinga ata kama mtu uyo ni msomi sana ( daktari n.k ).

Mimi naona tunakosea sana, Kujua ama kutokujua lugha Fulani haiwezi kuwa kigezo cha kuitwa msomi au mjinga. Kiingereza ni lugha kubwa duniani lakini ina fanya kazi Sawa na kiswahili, kurahisisha mawasiliano.

Kunasahau kuwa sifa kubwa za mtu kuitwa msomi ni kuwa na maarifa, ujuzi, uzoefu na tabia njema. Tunaenda shule kutafuta ivyo vitu ( maarifa, ujuzi, uzoefu na tabia njema ) ili tuweze kuishi vyema kwenye mazingira yetu !!

Kuache kutukuza vya wenzetu huku tunasahau vyakwetu !!

#TanzaniaKwanza
Kama umejifunzia hiyo lugha miaka zaidi ya 20 na hujaijua wewe si ni kilaza tu.
 
Ukizungumia kingereza kwa Tanzania ni tofauti na kuzungumzia kifaransa, kiitaliano, kichina, kikamba, kiarabu n.k.
Kingereza Tanzania kina hadhi ya kitaaluma kwakuwa kuanzia sekonda hadi vyuo ni lugha ya kufundishia na kujifunzia. Hivyo basi, Ili uweze kufundisha ama kujifunza vyema unatakiwa kukimudu kingereza. Na siku Kiswahili kikiwa kinatumika itabidi pia wasomi wakimudu Kiswahili.
 
Rais ndiyo alama ya nchi, Rais anapojua kuongea zaidi ya lugha moja na hasa anapojua moja ya lugha kuu za kimataifa kama Kiingereza, Kijerumani, Kifaransa na Kihispaniola ni rahisi kufanya mazungumzo na watu wengi bila kutumia mkalimani.

Viongozi wengi wakuu katika CV zao wanaweza lugha wanazoongea kwa ufasaha. Wengine wanajivunia kuongea lugha 4-7 kwa ufasaha. Papa Francis anaongea lugha 7, Rais Putin anaongea Kijerumani kwa ufasaha.

Nchi za Ulaya watoto wanafunfishwa lugha ya pili tangu shule ya msingi. Lugha hizi zilipata u maarufu ws kutumika zaidi duniani katika maswala ya uchumi, siasa na tekinolojia tangu mataifa yake yawe na makoloni duniani.
 
Ili uwe Msomi wa kufaa kuwa Msomi lazima "maarifa" yawe yamejaa pomoni akilini mwako. Na huwezi kuwa na maarifa kwa kitu chochote huku hujui vizuri lugha uliyotumia kupatia maarifa hayo. Maarifa ni kujua kitu kwa undani, kuweza kukitumia na kuelekeza wengine kwa ufasaha. (Acquire & Deliver).
Kwa mantiki hiyo wewe Msomi wa ngazi kubwa ya Udokta mwenye maarifa ujuzi na uzoefu, ulikuwa unawarithisha nini watoto wetu ulipokuwa unawafundisha huku hujui lugha ya kufundishia?
 
Ukizungumia kingereza kwa Tanzania ni tofauti na kuzungumzia kifaransa, kiitaliano, kichina, kikamba, kiarabu n.k.
Kingereza Tanzania kina hadhi ya kitaaluma kwakuwa kuanzia sekonda hadi vyuo ni lugha ya kufundishia na kujifunzia. Hivyo basi, Ili uweze kufundisha ama kujifunza vyema unatakiwa kukimudu kingereza. Na siku Kiswahili kikiwa kinatumika itabidi pia wasomi wakimudu Kiswahili.
Kwa Tz Kiswahili na Kiingereza lazima viende sambamba. Sio kwa kuwa Kiingereza kimetumika kufundishia kwa muda mrefu basi Kiswahili kinakuwa hakijulikani wakati ukitoka darasani lugha unayotumia kwa kiasi kikubwa ni Kiswahili.
 
Ili uwe Msomi wa kufaa kuwa Msomi lazima "maarifa" yawe yamejaa pomoni akilini mwako. Na huwezi kuwa na maarifa kwa kitu chochote huku hujui vizuri lugha uliyotumia kupatia maarifa hayo. Maarifa ni kujua kitu kwa undani, kuweza kukitumia na kuelekeza wengine kwa ufasaha. (Acquire & Deliver).
Kwa mantiki hiyo wewe Msomi wa ngazi kubwa ya Udokta mwenye maarifa ujuzi na uzoefu, ulikuwa unawarithisha nini watoto wetu ulipokuwa unawafundisha huku hujui lugha ya kufundishia?
Uwasilishaji unaweza kuwa kwa njia ya maandishi au sauti, so wengine kwenye maandishi wako vizuri ila kuongea hawako vizuri.
 
Kumekuwa na mtazamo hasi ya kuwa " mtu asipojua Kuongea vizuri kiingereza basi watu wanamcheka na kumuona mjinga ata kama mtu uyo ni msomi sana ( daktari n.k ).

Mimi naona tunakosea sana, Kujua ama kutokujua lugha Fulani haiwezi kuwa kigezo cha kuitwa msomi au mjinga. Kiingereza ni lugha kubwa duniani lakini ina fanya kazi Sawa na kiswahili, kurahisisha mawasiliano.

Kunasahau kuwa sifa kubwa za mtu kuitwa msomi ni kuwa na maarifa, ujuzi, uzoefu na tabia njema. Tunaenda shule kutafuta ivyo vitu ( maarifa, ujuzi, uzoefu na tabia njema ) ili tuweze kuishi vyema kwenye mazingira yetu !!

Kuache kutukuza vya wenzetu huku tunasahau vyakwetu !!

#TanzaniaKwanza
Kikubwa maelewano, ukiweza kuongea lugha ya kigeni na watu wanakuelewa inatosha!!!!!
Wewe kama unataka mswahili aongee kiingereza kama mwingereza, wewe utakuwa mwendawazimu !!!
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom