Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
natumai wote ni wazima wa afya.hivi ni kwa nini mahusiano either ni wachumba au wako kwenye ndoa wakiwa mbali na mwenzie mwanaume anapocheat inaonekana siyo ishu lakini inapotokea kwa mwanamke kusamehemewa probability yake ni ndogo sana na jamii pia inamchukulia ni ma**ya.kw jinsi ninavyojua kwa mtu kuamua hata mwaka unamaliza usifikirie mambo ya*** wanaume cjui naomaba tujadili mwanaume anaweza kukaa muda gani without doin *** au hawawezi kabsa nawasilisha karibuni