mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
Haiwezekanitukaendelea kuwa na watu wa hovyo, lazima chama kijipange na kujiweka sawa ilikisipoteze sifa kwa jamii, Jakaya Kikwete akiwa Mwanza jana. Anaongeza, "Hivi karibuni nikiwana NEC hapo Dodoma, nilitumia kauli Nyoka Kujivua Gamba. Usemi huo ulienezwatofauti kabisa. Kimsingi tulipitisha maazimio mengi, lakini wenzetu wameonaazimio moja tu la kujivua gamba.
Hatuwezi kuwa nachama imara kama hatukuondoa magamba, mwenyekiti wetu wa chama taifa lazimatuyaondoe magamba yanayokipaka chama matope. Fredrick Sumaye akiwa Pangani mkoani Jana.
Hata Waingerezawanatabia moja. Wakiona jambo linawasumbua, wanaunda Royal Commission, jambo hilolitachunguzwa kwa muda mrefu. Wakimaliza, watu wameshasahau, Wilson Mukama katika mahojiano maalum na gazeti la Mwananchi wiki jana.
Kwa kauli hizo hapo juu tutegemee nini?
Hatuwezi kuwa nachama imara kama hatukuondoa magamba, mwenyekiti wetu wa chama taifa lazimatuyaondoe magamba yanayokipaka chama matope. Fredrick Sumaye akiwa Pangani mkoani Jana.
Hata Waingerezawanatabia moja. Wakiona jambo linawasumbua, wanaunda Royal Commission, jambo hilolitachunguzwa kwa muda mrefu. Wakimaliza, watu wameshasahau, Wilson Mukama katika mahojiano maalum na gazeti la Mwananchi wiki jana.
Kwa kauli hizo hapo juu tutegemee nini?