Kujivua gamba kupo au la angalia kauli za Kikwete, Sumaye na Mukama ndiyo uamue

mpayukaji

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
940
349
“Haiwezekanitukaendelea kuwa na watu wa hovyo, lazima chama kijipange na kujiweka sawa ilikisipoteze sifa kwa jamii,” Jakaya Kikwete akiwa Mwanza jana. Anaongeza, "Hivi karibuni nikiwana NEC hapo Dodoma, nilitumia kauli ‘Nyoka Kujivua Gamba’. Usemi huo ulienezwatofauti kabisa. Kimsingi tulipitisha maazimio mengi, lakini wenzetu wameonaazimio moja tu la kujivua gamba.”
“Hatuwezi kuwa nachama imara kama hatukuondoa magamba, mwenyekiti wetu wa chama taifa lazimatuyaondoe magamba yanayokipaka chama matope.” Fredrick Sumaye akiwa Pangani mkoani Jana.
“Hata Waingerezawanatabia moja. Wakiona jambo linawasumbua, wanaunda Royal Commission, jambo hilolitachunguzwa kwa muda mrefu. Wakimaliza, watu wameshasahau,” Wilson Mukama katika mahojiano maalum na gazeti la Mwananchi wiki jana.
Kwa kauli hizo hapo juu tutegemee nini?

 
Kupo. Lakini kuna maana ya undani ambayo yatakiwa uitafakari. Swali ni hivi; Hivi Tanzania kuna wasomi wenye uwezo wa kuchukuwa nafasi walizo jivuwa hao wenye magamba?
 
Kupo. Lakini kuna maana ya undani ambayo yatakiwa uitafakari. Swali ni hivi; Hivi Tanzania kuna wasomi wenye uwezo wa kuchukuwa nafasi walizo jivuwa hao wenye magamba?
Hii ni mpya! Ina maana kati ya watanzania milioni zaidi ya 40 hawezi kupatikana mtu wa kuchukuwa nafasi zao?
 
Back
Top Bottom