Kujiuzulu ubunge kwa Mtulia na uthibitisho kuwa hayawezi majukumu ya ubunge hivyo hafai atatusaliti tena

Hata hivyo ni dharau kwa wanakinondoni kwa mtu walimpigania kushinda kiti kike kisha akawaacha bila kukutana nao wamshauri! Hii haina tofauti na mke uliyemuoa kwa sherehe kubwa na kukaa siku chache kisha akakubwaga na kurudi tena kutaka kuolewa na nduguyo wa damu! Hafai kwa nafasi yoyoye ya uongozi kinondoni na hata kuishi hapo ahame tu akakae kwao rufiji asije akaambukiza maradhi ya toroka uje hapo!
 
Nawashangaa sana kina Wasira na Mwigulu kuwadanganya wapiga kura eti Mgombea wa CCM bw Mtulia anafaa kutatua matatizo ya Kinondoni.Tukumbuke kuwa Bw.Mtulia alikuwa mbunge na anaomba ubunge.maswali ya kujiuliza kama alikuwa mbunge alishindwa kuyatatua matatizo ya wanakinondoni? Leo akipewa ubunge huo huo ambao alikuwa nao na akashindwa ni DHAHIRI hatafanya Lolote zaidi ya kukaa MIAKA 2 na KUJIUZULU.Tukubali uwezo Wa Bw.Mtulia ni mdogo sana Kwa nafasi ya UBUNGE labda Udiwani.

Mbunge anachaguliwa na wananchi na sio Raisi. Sasa hawa wabunge wanao jiudhuru eti kwa ajili ya kumwuunga mkono Raisi hawajui kuwa wanavunja makubaliano na wananchi ya kuwatetea Bungeni? Sasa kwa nini wabunge hao hao waende kuomba kura kwa wananchi badala ya wao kuteuliwa kuwa wakuu wa mikoa au Wlaya nk? Si wangeomba nafasi za kuteuliwa na raisi? Je baada ya mda hao wabunge wakifanikiwa kuwa wa CCM wakaja kumwuunga mkona labda Lipumba, waache ubunge wa CCM kwa ajili ya kumwunga mkono Lipumba?
 
Pohamba acha ujinga Wa kuwagawa watanzania mbona Rais mstaafu Mwinyi alitawala na bara
 
Wana kinondoni hawatachagua Mgombea toka Chama ambacho hata chama chenyewe hakijui nani anajiuzulu kesho kurudi ccm

Kinondoni sio mazuzu waache kuchagua Mtanganyika Mwenzao wakachague Mgeni toka nchi ya Mbali
Usituletee ubaguzi wa catalonya mbunge anagombea popote
 
Mtulia ubunge ulisha mshinda, asubiri nafasi za kuteuliwa kwa huyo anaye muunga mkono.
 
Nawashangaa sana kina Wasira na Mwigulu kuwadanganya wapiga kura eti Mgombea wa CCM bw Mtulia anafaa kutatua matatizo ya Kinondoni.Tukumbuke kuwa Bw.Mtulia alikuwa mbunge na anaomba ubunge.maswali ya kujiuliza kama alikuwa mbunge alishindwa kuyatatua matatizo ya wanakinondoni? Leo akipewa ubunge huo huo ambao alikuwa nao na akashindwa ni DHAHIRI hatafanya Lolote zaidi ya kukaa MIAKA 2 na KUJIUZULU.Tukubali uwezo Wa Bw.Mtulia ni mdogo sana Kwa nafasi ya UBUNGE labda Udiwani.
Nakuhakikishia kuwa Utamuona Mtulia kupitia Runinga yako akiwa Bungeni, utabaki kulalamika lalamika na hilo lichadema lako, li SACCOSS la kaskazini.
 
Wakianza kumfurahisha tena CUF atajihudhuru na kwenda kumuunga mkono mwenyekiti wake Profesa Lipumba.
 
Nawashangaa sana kina Wasira na Mwigulu kuwadanganya wapiga kura eti Mgombea wa CCM bw Mtulia anafaa kutatua matatizo ya Kinondoni.Tukumbuke kuwa Bw.Mtulia alikuwa mbunge na anaomba ubunge.maswali ya kujiuliza kama alikuwa mbunge alishindwa kuyatatua matatizo ya wanakinondoni? Leo akipewa ubunge huo huo ambao alikuwa nao na akashindwa ni DHAHIRI hatafanya Lolote zaidi ya kukaa MIAKA 2 na KUJIUZULU.Tukubali uwezo Wa Bw.Mtulia ni mdogo sana Kwa nafasi ya UBUNGE labda Udiwani.
Kabisa mkuu .
 
Mumeipenda wenyewe
mumeitaka wenyewe
Ccm nambar one eeeee
Ccm mbele kwa mbeleeee
Hatunywi sumu hatujinyongii
Ccm mbele kwa mbeleeeeeeee

::Ni mtazamo tunajifunza nn matokeo nn Hakika hii Tanzania ni kidonda kilichokosa tiba wachache ndyo wenye kufarijika na tz wengi ktk sisi tunaumia na kuteseka
 
Wana kinondoni hawatachagua Mgombea toka Chama ambacho hata chama chenyewe hakijui nani anajiuzulu kesho kurudi ccm

Kinondoni sio mazuzu waache kuchagua Mtanganyika Mwenzao wakachague Mgeni toka nchi ya Mbali
Nyie endeleeni na kelele za vijiweni. Finali ni kwenye kutangazwa mshindi. Hatutaki ngonjera kama mlizoleta kwenye udiwani. Mara ooo mawakala wamezuiliwa, polisi wameingilia, nk. Kumbukeni, unapoamua kuingia kwenye uchaguzi katika nchi yeyote Africa, kushinda ni kukamilisha full package. Kuhamasisha wafuasi wako kujiandikisha na kupiga kura, kuwa na mikakati thabiti ya kusimamia kuhesabu kura, kudhibiti matokeo yatakayo tangazwa. Kama upo weak katika mojawapo ya hayo,Utabaki kulalamika na bora usishiriki uchaguzi. Mpiga kura akiisha pigs kura, wajibu wake unaishia hapo. Ukishindwa kudhibiti hayo kubali kushindwa hadharani na usitusumbue na hadithi.
 
Back
Top Bottom