Kujiuzulu na kufukuzwa kazi

BAK

JF-Expert Member
Feb 11, 2007
124,790
288,005
Waungwana ukifukuzwa kazi unapoteza haki zako zote ikiwa pamoja na marupurupu, je hawa mawaziri wanaojizulu wataendelea kuwa na haki ya kulipwa haki zao mbali mbali ikiwemo marupurupu?
Naomba ufafanuzi.

Maana kwa ufisafi walioufanya dhidi ya Watanzania hawastahili kuwa na haki zozote za ajira zao serikalini. Kama kujiuzulu wanastahili kuendelea kupata marupurupu basi JK akatae barua zao za kujiuzulu na awafukuze kazi ili wasipate marupurupu yoyote.
 
Naunga mkono 100% na hata ile sheria ya kuwakirimu viongozi wastaafu, kama Lowasa atafaidika nayo, nitakuwa mmoja wa watu watakaoingia mtaani kuandamana.
 
Waungwana ukifukuzwa kazi unapoteza haki zako zote ikiwa pamoja na marupurupu, je hawa mawaziri wanaojizulu wataendelea kuwa na haki ya kulipwa haki zao mbali mbali ikiwemo marupurupu?
Naomba ufafanuzi.

Maana kwa ufisafi walioufanya dhidi ya Watanzania hawastahili kuwa na haki zozote za ajira zao serikalini. Kama kujiuzulu wanastahili kuendelea kupata marupurupu basi JK akatae barua zao za kujiuzulu na awafukuze kazi ili wasipate marupurupu yoyote.
Muulize Lowassa ewe kiumbe
 
Back
Top Bottom