johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 82,747
- 139,529
Rais Zuma amesema hajafanya makosa yoyote ila anajiuzulu ili chama chake cha ANC kisipasuke katikati. Hii sababu ya Zuma imenikumbusha ile sababu ya mh Lowassa kwamba yeye hajatenda kosa lolote ila anajiuzulu ili kuinusuru serikali isianguke. Nimeipenda hii sababu ya " kunusuru" inayopenda kutolewa na viongozi wa Afrika pindi wanapolazimika/ lazimishwa kujiuzulu. Mlale unono usiku mwema!