Wakabambee58
JF-Expert Member
- Aug 14, 2020
- 913
- 1,271
Mimi sijui mfumo wa hizi machine za kisasa yaani computer! Je wamefuta kwa maana ya kufuta kwenye kioo au wamefuta kwa maana ya kuondoa ndani ya computer zao? NA KAMA ilinakiliwa na kuhifadhiwa na mtu mwingine, hapo mwongo ni nani?Noma sana !