Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 18,619
- 20,947
Kujiuzulu kwa hiyari kufuatia mauaji ya watu 36 kwa waziri wa Kenya na mkuu wa jeshi la police kwa hiyari, Je! watanzania tunajifunza nini na watu wafanyao makosa ya dhahiri huku wakizidi kung'ang'ania madaraka?