Kujiunga na JWTZ kwa proffessionals

Nafasi za professionals zipo but mtatangaziwa too late coz wakubwa wana watu wao wengi mno, so utaweza ukaisikia leo then baada ya siku 2 au moja ndo mwisho, kwenye pitapita zangu nilisikia mwezi wa 7 wanaweza wakahitaji vijana professionals
 
Haipo hiyo usiudanganye Uma, jkt ndio the only way in... Kwa taarifa tu hadi madaktari wapo Jkt sa hv, wapo kama 6 hv wenye M.D pamoja na kozi nyingine kibao za kipaumbele jeshini, na jeshini madokta ndio hot cake lakini still hawaendi moja kwa 1 TMA.
Lonja zilizopo ni mwezi wa 10 kwa professional waliopo JKT, na kiukweli wapo wengi tu hadi master's zipo, my take...fanya ufanyavyo upate nafasi ya JKT otherwise Yesu atarudi atakukuta bado unasubiri nafac za TMA from uraiani!
Nafasi za professionals zipo but mtatangaziwa too late coz wakubwa wana watu wao wengi mno, so utaweza ukaisikia leo then baada ya siku 2 au moja ndo mwisho, kwenye pitapita zangu nilisikia mwezi wa 7 wanaweza wakahitaji vijana professionals
 
hadi website ya jeshi imeandika. jkt kwanza. usipende urahisi. kuna watu wana 2 kimbiji jkt wana phd zao.
 
MIMI NI MWALIMU BED ARTS ENGLISH Natafuta kazi jamani tushituane wakenya wametunyang'anya nchi,0788845822
 
Baada ya kozi ya miezi 6 ya JKT kwa kujitolea, TPDF pamoja na taasisi nyingine za ulinzi na usalama hupita vikosini kuwafanyia usaili vijana wahitimu au servicemen, kwahyo ukitaka JW utafanya usaili wa JW, ukitaka polisi, magereza au TANAPA hali kadhalika, na usaili hasahasa unahusisha tu uhakiki wa vyeti vyako tu na hamna complications zozote, kupimwa damu na 'king'amuzi' ni utapimwa ukienda kuanza kozi ya JW kama ukipita kwny usaili, so kama wewe ni good material utachukuliwa tu maana ni ngumu sana kukosa ajira kupitia JKT ingawa mara nyingine huwa inatokea kutokana na kigezo cha umri na elimu
ASANTE SANA NA JE HUKO JKT KUNA TARATIBU ZA KUJIUNGA NA JW??


:angry:
 
Haipo hiyo usiudanganye Uma, jkt ndio the only way in... Kwa taarifa tu hadi madaktari wapo Jkt sa hv, wapo kama 6 hv wenye M.D pamoja na kozi nyingine kibao za kipaumbele jeshini, na jeshini madokta ndio hot cake lakini still hawaendi moja kwa 1 TMA.
Lonja zilizopo ni mwezi wa 10 kwa professional waliopo JKT, na kiukweli wapo wengi tu hadi master's zipo, my take...fanya ufanyavyo upate nafasi ya JKT otherwise Yesu atarudi atakukuta bado unasubiri nafac za TMA from uraiani!

Sure mkuu hata mimi nimeelezwa hivyo na afisa aliyeko jikoni soo mwezi 9 naingia jkt.

Tatzo watu wanadanganyana sana na stori za vijiweni
 
hivi mtu ukija na gamba lako la ufundi wa ndege watakuzingua? au engineer wa madaraja? nahisi watakubambeleza, au dactari bingwa wa mifupa.
 
Nimeshaeleza kila kitu hapo juu! JKT ni lazima hata uwe na degree gani!!!
Ifike mahala uwe unaelewa kiswahili!
hivi mtu ukija na gamba lako la ufundi wa ndege watakuzingua? au engineer wa madaraja? nahisi watakubambeleza, au dactari bingwa wa mifupa.
 
hivi mtu ukija na gamba lako la ufundi wa ndege watakuzingua? au engineer wa madaraja? nahisi watakubambeleza, au dactari bingwa wa mifupa.

Nn degree ww dogo watu wana masters ya hizo vitu na wapo jkt. Acheni stori za kwenye vijiwe
 
Nilishafanya jitihada sana za kujiunga na hiko chombo bila mafanikio, tokea 2010 mwezi wa 7 hadi mwanzoni mwa 2012,

Napenda sana kuwa M'jeshi hasa kuvaa zile gwanda (JWTZ) ila kwa sasa nimeshachelewa.
bIG UP sana kwa Wanajeshi wote hasa wenye mapenzi mema na nchi yetu.
 
Baada ya kozi ya miezi 6 ya JKT kwa kujitolea, TPDF pamoja na taasisi nyingine za ulinzi na usalama hupita vikosini kuwafanyia usaili vijana wahitimu au servicemen, kwahyo ukitaka JW utafanya usaili wa JW, ukitaka polisi, magereza au TANAPA hali kadhalika, na usaili hasahasa unahusisha tu uhakiki wa vyeti vyako tu na hamna complications zozote, kupimwa damu na 'king'amuzi' ni utapimwa ukienda kuanza kozi ya JW kama ukipita kwny usaili, so kama wewe ni good material utachukuliwa tu maana ni ngumu sana kukosa ajira kupitia JKT ingawa mara nyingine huwa inatokea kutokana na kigezo cha umri na elimu

kwan mkuu umri ni average ya miaka mingapi isizid
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom