DAMAS AMEDEUS
Member
- May 27, 2013
- 17
- 1
jaman lini nafasi zinatoka? au yeyote mwenye mawazo yeyote atuhabirishe please!....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nafasi za professionals zipo but mtatangaziwa too late coz wakubwa wana watu wao wengi mno, so utaweza ukaisikia leo then baada ya siku 2 au moja ndo mwisho, kwenye pitapita zangu nilisikia mwezi wa 7 wanaweza wakahitaji vijana professionals
jaman lini nafasi zinatoka? au yeyote mwenye mawazo yeyote atuhabirishe please!....
Nani...?nenda kweeeenuuuuuuuuuu
ASANTE SANA NA JE HUKO JKT KUNA TARATIBU ZA KUJIUNGA NA JW??
:angry:
Haipo hiyo usiudanganye Uma, jkt ndio the only way in... Kwa taarifa tu hadi madaktari wapo Jkt sa hv, wapo kama 6 hv wenye M.D pamoja na kozi nyingine kibao za kipaumbele jeshini, na jeshini madokta ndio hot cake lakini still hawaendi moja kwa 1 TMA.
Lonja zilizopo ni mwezi wa 10 kwa professional waliopo JKT, na kiukweli wapo wengi tu hadi master's zipo, my take...fanya ufanyavyo upate nafasi ya JKT otherwise Yesu atarudi atakukuta bado unasubiri nafac za TMA from uraiani!
MIMI NI MWALIMU BED ARTS ENGLISH Natafuta kazi jamani tushituane wakenya wametunyang'anya nchi,0788845822
hivi mtu ukija na gamba lako la ufundi wa ndege watakuzingua? au engineer wa madaraja? nahisi watakubambeleza, au dactari bingwa wa mifupa.
hivi mtu ukija na gamba lako la ufundi wa ndege watakuzingua? au engineer wa madaraja? nahisi watakubambeleza, au dactari bingwa wa mifupa.
Baada ya kozi ya miezi 6 ya JKT kwa kujitolea, TPDF pamoja na taasisi nyingine za ulinzi na usalama hupita vikosini kuwafanyia usaili vijana wahitimu au servicemen, kwahyo ukitaka JW utafanya usaili wa JW, ukitaka polisi, magereza au TANAPA hali kadhalika, na usaili hasahasa unahusisha tu uhakiki wa vyeti vyako tu na hamna complications zozote, kupimwa damu na 'king'amuzi' ni utapimwa ukienda kuanza kozi ya JW kama ukipita kwny usaili, so kama wewe ni good material utachukuliwa tu maana ni ngumu sana kukosa ajira kupitia JKT ingawa mara nyingine huwa inatokea kutokana na kigezo cha umri na elimu