kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Nimeona kwenye runinga leo mapema asubuhi mama anna abdalah akichangia bajeti ya kilimo na hilchakula, kuwa anakiri kuwa mh. Mudhihiri na mkewe walilipwa posho ya kuhudhuria kikao cha bodi ya korosho , mudhihiri akiwa makamu mwenyekiti wa bodi , hito na mkewe kama msaidizi.
Je kukiri na kukubali alilipwa kama fadhila ya ulemavu, ili apate msaidizi, kanuni za fedha katika malipo ya wajumbe zinakubali wasaidizi nao walipwe kama wajumbe wa bodi?
Najua huyu mama alikwenda mbali zaidi kuwa hapashwi kulaumiwa na ubovu wa utendaji katika zao la korosho sababu ana mwaka mmoja tu.je mwaka mmoja na vikao vingi ambayo bado kuna ubovu anayo hoja ya kujitetea?
Je kukiri na kukubali alilipwa kama fadhila ya ulemavu, ili apate msaidizi, kanuni za fedha katika malipo ya wajumbe zinakubali wasaidizi nao walipwe kama wajumbe wa bodi?
Najua huyu mama alikwenda mbali zaidi kuwa hapashwi kulaumiwa na ubovu wa utendaji katika zao la korosho sababu ana mwaka mmoja tu.je mwaka mmoja na vikao vingi ambayo bado kuna ubovu anayo hoja ya kujitetea?