Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hivi kunaulazima kama umetengana na boyfriend/girlfriend wako kwenda kuanika kwa facebook!!!
Inaulazima kiasi gani, afu mara nyingi yule anayekuwa na makosa ndo wakwanza kujishuku kwa fb
teh teh
hivi kunaulazima kama umetengana na boyfriend/girlfriend wako kwenda kuanika kwa FACEBOOK!!!
inaulazima kiasi gani, afu mara nyingi yule anayekuwa na makosa ndo wakwanza kujishuku kwa FB
teh teh
u'v spoken da fact dia!Hivi Kuna ulazima gani wa kuja kututangazia kuwa facebook wanajitangaza!
Kuongeza idadi ya thread! Unataka niandike kipi?u'v spoken da fact dia!
Hivi Kuna ulazima gani wa kuja kututangazia kuwa facebook wanajitangaza!
halafu wewe mchokozi.Thenki yuu!
hebu jibu Pm.Mie nawaambia hawa watoto wanatuharibia jukwaa FB inatuhusu nn sasa?
gango,avatar yako inatisha.kwa nini usiibadilishe?
Ha ha mbona unanirusha live bila chenga? Najibuhebu jibu Pm.