shylock
JF-Expert Member
- Dec 14, 2017
- 795
- 1,325
😄😄😄😄 hapana mkuu unayapekecha kiasi. Afu hii issue ya kupekecha inasaidia hata kama kuna mtu anakuja maliwato. Akifika mlango we unaanza kupekecha anajua kunamtu anarudi.duh,magazeti/madaftari tena?si magumu sana hayo mkuu?si utakua umekomaa sana nanii?na maandishi yatakuwa yanabakia?utakuta tako limijiandika "yanga yaifumua simba''