Huduma za msingi zinakuwepo kama kawaida lakini mtu akitaka extra ndio alipie mfana anataka kukaa chumba cha peke yake self contained alipieKuna kitu kinaitwa equality before the law...
ni takwa la katiba hilo
serekali inapaswa kutoa huduma zote za msingi kwa usawa ......
Kwasababu CCM hakuna msafi, anajijua anaweza kuwa mfungwa mtarajiwa na yale mamilioni aliyokwapua yatamsaidia.Leo umeongea point.
Swali ninalojiuliza mpaka kesho, hivi huwa inawezekana vipi mwizi wa kuku kuhukumiwa jela, ila mwizi wa mabilioni kuendelea kudunda mtaani???Kwasababu CCM hakuna msafi, anajijua anaweza kuwa mfungwa mtarajiwa na yale mamilioni aliyokwapua yatamsaidia.
Magereza jengeni magereza ya kulipia kwa wenye pesa wanaopenda
Mfano ni huu wa marekani