Rakims
JF-Expert Member
- Jun 4, 2014
- 4,982
- 4,481
Habari zenu wakuu,
Hii ni mada maalumu kwa wanaume wote ambao toka kitambo wanatatizo la kutosimamisha jogoo yani tofauti na kupanda mtungi yani hawiki kabisa.
Kwanza naanza kwa pole kwa wahanga, japokua wametengwa ila tiba ipo kwa miujiza na dawa na roho basi kama line imekatika waweza kuirudisha kwa muambatano wa njia hizo tatu na asili nne.
Kwanza kabisa,
Hii ni hali inayomtokea mwanamme ambapo anakuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa lakini uume wake au hausimami kabisa, kukosa kusimama kikamilifu au kusimama kikamilifu kwa muda mfupi sana hivyo kukosa nguvu ya kufanya tendo lililokusudiwa. Nusu wa wanaume hupata tatizo hili wanapofikia umri wa miaka 40, idadi ikiongezeka kwa wanaume wenye umri mkubwa zaidi, kwa mfano asilimia 70 ya wanaume wenye miaka 70 huwa na tatizo hili.
Ifahamike kwamba kila mmoja wetu huweza kupata tatizo hili kwa muda fulani kutokana na vitu kama uchovu, kupata kilevi, kutoelewana na mwenzi n.k. Tunasema mwanamme ana tatizo hili pale hali hii inapoendelea kwa kipindi kirefu, kwa mfano hali hii ikitokea kwa mwezi mzima mfulululizo. Hiyo ndio jogoo aliefeli sipo kuzungumzia mapungufu nazungumzia kiumbe ambaye hapati kabisa hata hisia hapo. Lakini hapa nazungumzia jogoo ambaye hata hashtuki katulia tuu ghafla au niwa kuzaliwa hivyo.
Ikiwa mtu katumia njia za hospital madawa ya kienyeji ya kizungu lakini bado jomba hainuki basi huyu anakua kachezewa mchezo mmoja katika ya mitatu wa nne ni asili ya mtu yani kazaliwa nao.
Aina za michezo:
1: Kichawi
2: Majini
3: Mwanamke uliewahi kukutana nae
Sasa kuna njia mbadala za kujisaidia kama wewe ni muhanga nione PM upate msaada.
Wa tatizo japo hata ushauri:
Hoja na maswali navikaribisha.
Kwa haya na mengineyo:
Tembelea:
Rakims
Hii ni mada maalumu kwa wanaume wote ambao toka kitambo wanatatizo la kutosimamisha jogoo yani tofauti na kupanda mtungi yani hawiki kabisa.
Kwanza naanza kwa pole kwa wahanga, japokua wametengwa ila tiba ipo kwa miujiza na dawa na roho basi kama line imekatika waweza kuirudisha kwa muambatano wa njia hizo tatu na asili nne.
Kwanza kabisa,
Hii ni hali inayomtokea mwanamme ambapo anakuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa lakini uume wake au hausimami kabisa, kukosa kusimama kikamilifu au kusimama kikamilifu kwa muda mfupi sana hivyo kukosa nguvu ya kufanya tendo lililokusudiwa. Nusu wa wanaume hupata tatizo hili wanapofikia umri wa miaka 40, idadi ikiongezeka kwa wanaume wenye umri mkubwa zaidi, kwa mfano asilimia 70 ya wanaume wenye miaka 70 huwa na tatizo hili.
Ifahamike kwamba kila mmoja wetu huweza kupata tatizo hili kwa muda fulani kutokana na vitu kama uchovu, kupata kilevi, kutoelewana na mwenzi n.k. Tunasema mwanamme ana tatizo hili pale hali hii inapoendelea kwa kipindi kirefu, kwa mfano hali hii ikitokea kwa mwezi mzima mfulululizo. Hiyo ndio jogoo aliefeli sipo kuzungumzia mapungufu nazungumzia kiumbe ambaye hapati kabisa hata hisia hapo. Lakini hapa nazungumzia jogoo ambaye hata hashtuki katulia tuu ghafla au niwa kuzaliwa hivyo.
Ikiwa mtu katumia njia za hospital madawa ya kienyeji ya kizungu lakini bado jomba hainuki basi huyu anakua kachezewa mchezo mmoja katika ya mitatu wa nne ni asili ya mtu yani kazaliwa nao.
Aina za michezo:
1: Kichawi
2: Majini
3: Mwanamke uliewahi kukutana nae
Sasa kuna njia mbadala za kujisaidia kama wewe ni muhanga nione PM upate msaada.
Wa tatizo japo hata ushauri:
Hoja na maswali navikaribisha.
Kwa haya na mengineyo:
Tembelea:
Rakims