Kujikinga na UKIMWI bila kutumia mipira "condoms"

Larusai Mux

JF-Expert Member
Oct 24, 2012
979
275
Wakuu husika na uzi huu, je kijana anaweza kutumia njia zipi kujikinga na ukimwi bila kutumia kondom?,
Nimejiuliza hili swali kwasasabu kuna post 1 ya mkuu Mzizi ya kumfurahisha mpenz{kike} kwa kupaka dushelele kitunguu swaumu' hapa alimaanisha hutavaa zana(ndom) sasa vp kuhusu maradhi?,
Ni weledi unahitajika hapa!

Nawasilisha.
 
Nawa haraka haraka baada ya tendo!Mzee Jacob Zuma alitumia mbinu hiyo!Acha zinaa ndiyo njia pekee ya kujikinga na UKIMWI bila ya mpira.
 
Usiwaachie kwa ndani ukiona wanakuja toka nje haraka!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Ni sawasawa na kwenda kulala kwenye treni katikati ya reli ndani ya mataruma, kuna siku utakosea tu ukasogeza kichwa ndio ujue kwaheri.
usicheze na kifo km unajua ana ukimwi mwachilie mbali , ila km hujui hapo MUNGU atakuepusha lakini kumbuka ni ZINAA
 
mkuu ni very simple
1.make sure umetahiriwa huo uume vizuri tena hospitalini
2.kusiwe na vidonda vyovyote kwenye uume wako na uke wa mpenzio
3.hakikisha unafanya romance ya kutosha kabla ya kuingiliana kimwili,romance ichukue dk 30 na kuendelea,hii itasaidia kulainisha uke na majimaji ya asili ambayo ni ant-friction
4.ingiza uume wako taratibu kwenye uke uliolainishwa na majimaji ya asili,pia usiwe unaingiza na kutoa kwa fujo,jitahitahidi kufanya taratibu maana hii pia itakusaidia kuchelewa kukojoa na kuwapa raha zaidi huku uke unakuwa unachochea kutoa majimaji zaidi
5.ukiona uke umeanza kukauka paka mate uume wako kama hutakuwa na kinyaa au tumia mafuta maalumu ya kulainishia uke
6.ukishakojoa haraka sana nenda kaoge mwili mzima na maji mengi kwa kutumia sabuni,baada ya hapo paka vizuri uume wako kwa mafuta ya kawaida hasa vaselinethen mnaweza kuendelea na mchezo tena kwa kufuata hizo atua zote

N.B;sichochei ukafanye zinaa,kumbuka magonjwa mengine utapata kama kawaida hata ukitumia hizo njia njia kwa mfano kaswende na gonolea,cha msingi acha kabisaa zinaa utaishi miaka mingi
 
hahahahahahaha aisee hii nchi inapoelekea siko

duuu...nimecheka sana aisee! kwa mtaji huo kweli ufaulu wa kidato cha nne na sita utapanda kweli! mtu kauliza 2+2=, jamaa anabandika jibu 'Samaki' mbele ya alama ya =
 
mganda mmoja siku moja alikuwa ananimwagia story. akasema yeye ana wake 2 na vimada kibao na hajawahi kutumia condom na alishapima mara nyingi yuko safi. eti anapo-do na mwanamke akimwaga mbegu faster anachomoa kifaa na kuwahi toilet, huko anakojoa mkojo then anaosha kifaa kwa sabuni. anasema hiyo ni kinga kamili dhidi ya HIV. ila wataalam wa afya hebu mtujuze, je hili lina ukweli wowote?!!
 
Ni sawasawa na kwenda kulala kwenye treni katikati ya reli ndani ya mataruma, kuna siku utakosea tu ukasogeza kichwa ndio ujue kwaheri.
usicheze na kifo km unajua ana ukimwi mwachilie mbali , ila km hujui hapo MUNGU atakuepusha lakini kumbuka ni ZINAA

umenena,
 
mkuu ni very simple
1.make sure umetahiriwa huo uume vizuri tena hospitalini
2.kusiwe na vidonda vyovyote kwenye uume wako na uke wa mpenzio
3.hakikisha unafanya romance ya kutosha kabla ya kuingiliana kimwili,romance ichukue dk 30 na kuendelea,hii itasaidia kulainisha uke na majimaji ya asili ambayo ni ant-friction
4.ingiza uume wako taratibu kwenye uke uliolainishwa na majimaji ya asili,pia usiwe unaingiza na kutoa kwa fujo,jitahitahidi kufanya taratibu maana hii pia itakusaidia kuchelewa kukojoa na kuwapa raha zaidi huku uke unakuwa unachochea kutoa majimaji zaidi
5.ukiona uke umeanza kukauka paka mate uume wako kama hutakuwa na kinyaa au tumia mafuta maalumu ya kulainishia uke
6.ukishakojoa haraka sana nenda kaoge mwili mzima na maji mengi kwa kutumia sabuni,baada ya hapo paka vizuri uume wako kwa mafuta ya kawaida hasa vaselinethen mnaweza kuendelea na mchezo tena kwa kufuata hizo atua zote

N.B;sichochei ukafanye zinaa,kumbuka magonjwa mengine utapata kama kawaida hata ukitumia hizo njia njia kwa mfano kaswende na gonolea,cha msingi acha kabisaa zinaa utaishi miaka mingi

safi sana mkuu,mawazo mazuri haya!,nmepata a,b,c pia
 
mkuu ni very simple
1.make sure umetahiriwa huo uume vizuri tena hospitalini
2.kusiwe na vidonda vyovyote kwenye uume wako na uke wa mpenzio
3.hakikisha unafanya romance ya kutosha kabla ya kuingiliana kimwili,romance ichukue dk 30 na kuendelea,hii itasaidia kulainisha uke na majimaji ya asili ambayo ni ant-friction
4.ingiza uume wako taratibu kwenye uke uliolainishwa na majimaji ya asili,pia usiwe unaingiza na kutoa kwa fujo,jitahitahidi kufanya taratibu maana hii pia itakusaidia kuchelewa kukojoa na kuwapa raha zaidi huku uke unakuwa unachochea kutoa majimaji zaidi
5.ukiona uke umeanza kukauka paka mate uume wako kama hutakuwa na kinyaa au tumia mafuta maalumu ya kulainishia uke
6.ukishakojoa haraka sana nenda kaoge mwili mzima na maji mengi kwa kutumia sabuni,baada ya hapo paka vizuri uume wako kwa mafuta ya kawaida hasa vaselinethen mnaweza kuendelea na mchezo tena kwa kufuata hizo atua zote

N.B;sichochei ukafanye zinaa,kumbuka magonjwa mengine utapata kama kawaida hata ukitumia hizo njia njia kwa mfano kaswende na gonolea,cha msingi acha kabisaa zinaa utaishi miaka mingi
Nitafute kwa kutumia e-mail rwizal@yahoo.com kama utapenda fanya hivyo haraka maana vyuo vingine mwisho wa kutuma maombi ni june 30.
 
mganda mmoja siku moja alikuwa ananimwagia story. akasema yeye ana wake 2 na vimada kibao na hajawahi kutumia condom na alishapima mara nyingi yuko safi. eti anapo-do na mwanamke akimwaga mbegu faster anachomoa kifaa na kuwahi toilet, huko anakojoa mkojo then anaosha kifaa kwa sabuni. anasema hiyo ni kinga kamili dhidi ya HIV. ila wataalam wa afya hebu mtujuze, je hili lina ukweli wowote?!!

hiyo kali,tusubiri watuje!
 
Back
Top Bottom