H HardMartin JF-Expert Member Jun 8, 2012 304 107 Dec 18, 2013 #1 samahani wanajukwaa naomba kufahamu kiswahili fasaha kati ya haya maneno, hivi mtu huwa anajikinga na mvua au anajificha mvua?, nahitaji msaada wenu.
samahani wanajukwaa naomba kufahamu kiswahili fasaha kati ya haya maneno, hivi mtu huwa anajikinga na mvua au anajificha mvua?, nahitaji msaada wenu.
nkuwi JF-Expert Member Feb 11, 2013 4,771 5,315 Dec 18, 2013 #2 Anajikinga mvua, ndo kiswahili sahihi na fasaha kwenye muktadha huo unaouzungumzia! na sio Anajikinga na mvua, hizi sentensi hazina maana moja!
Anajikinga mvua, ndo kiswahili sahihi na fasaha kwenye muktadha huo unaouzungumzia! na sio Anajikinga na mvua, hizi sentensi hazina maana moja!