Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,146
- 34,190
Yes K....God Knows Best!.....That Was Necessary......
Big up for your courage Ma.
Yes K....God Knows Best!.....That Was Necessary......
Big up for your courage Ma.
Hapo red Hebu njoo tuoneMimi mwenyewe watoto wangu nimejifungua kawaida na bado kuko bomba kabisa.Wajue Mungu alisema mtazaa kwa uchungu na sio mateso(kisu).
Wengi wao ni wanapenda kufanya mapenzi kinyume na maumbile na wengine hawataki papuchi zao zitanuke
Uone wapi !uruhusiwi teteteee!!!! nakutania ila niko bomba ile mbayaHapo red Hebu njoo tuone
ndo maana zamani akina mama walikuwa wanakufa sana wakati wa kuzaa kisa kulazimisha kupitisha mtoto chini
Tafadhali Picha tuone kama bado kuko bombaMimi mwenyewe watoto wangu nimejifungua kawaida na bado kuko bomba kabisa.Wajue Mungu alisema mtazaa kwa uchungu na sio mateso(kisu).
Tafadhali Picha tuone kama bado kuko bomba
Kufuatia uzoefu wangu kupitia ndugu jamaa na marafiki, na pia maneno yanayosemwa sana mitaani ni kwamba hivi sasa asilimia ya wanawake kujifungua kwa upasuaji imekuwa kubwa sana tofauti na zamani
Na kwa uchunguzi wangu mdogo kujifungua huku kwa operation kunatokea zaidi hapa DSM na mikoa mikubwa kama Arusha, Mwanza na Mbeya.
Na kana kwamba haitoshi upasuaji huo hutokea zaidi hospitali za binafsi au hospitali za rufaa kwenye huduma fast track kama Muhimbili
kwanini imekuwa hivi
Je ni nyakati zimebadilika aina ya vyakula,madawa na mazingira yanafanya akina mama wanashindwa kujifungua kawaida?
Je ni njia ya kupunguza uzazi kwa watu kuzaliana kwa kasi? (inaaminika operation mwisho watoto watatu,na once operation always operation)
Je ni mbinu ya hospitali kujiongezea kipato(inaaminika operation is very expensive na inalipa zaidi,na Drs wanalipwa zaidi kwa kila upasuaji iwe private au gvt huduma ya fast track)
Je ni mambo ya kisasa, akina mama wanataka wenyewe upasuaji kwa kuhofia uchungu na ''kupanua njia''
Naomba mawazo yenu wadau................mnalionaje hili hasa akina mama
Umetisha vibayaaa! Hii itakuwa balaa kubwa. Picha ikija lazima tutafutane hapa jamvini...
searching...100%
loading...100%
network connected !
Near by teku university mbeya.
'binafsi ningezaa kwa operation ningeona kama bado sijawa mama kamili'HAPA NIMEPAPENDANadhani wanawake tunapaswa kuelewa kuwa ile k ni inatanuka unapojifungua lakini inajirudisha. Yani ni elastic. Mimi nimejifungua njia ya kawaida ila sasa hivi njia ni nyembamba tu kama zamani. Pili wavumilie uchungu kwani hata Mungu alishatuandikia kuzaa kwa uchungu. Binafsi ningezaa kwa operation ningeona kama bado sijawa mama kamili.
Tafadhali Picha tuone kama bado kuko bomba
Mimi nilishawahi kuona video ya jinsi mtoto anavyozaliwa...nakuhakikishia mkuu pauls hata wewe ungekuwa na 'K' unakitamani hicho kisu ...ni soo...Wakishikwa na uchungu wengine huwa wanapiga kelele kwamba hawatapata tena mimba lakini wakijifungua pamoja na mateso yote wanawaza kupata katoto kengine...Nadhani kuna fumbo kubwa sana Mungu ameliweka kwenye kubeba mimba na kujifungua kwa mateso kwa akina mama na nadhani ni vizuri mtu akajifungua kwa njia ya kawaida unless awe na matatizo
Searching...100%
Loading...100%
Network Connected !
Near by TEKU University Mbeya.