Suala sio mpasuaji mzuri inategemea na tumbo ulilokuwa nalo na jinsi utakavyoji tune baada ya upasuaji kwenye masuala ya mlo. Mie nilipigwa kisu na Mimba yangu tumbo lilikuwa kubwa c mchezo baada ya kujifungua sikulifunga na nilipasuliwa vzuri tena chini kabisa kuelekea kwenye kibofu na sio nyuzi za kufumua, Dr. akasema after 4weeks naruhusiwa kulifunga km nina stomach Support sikulifunga due to pressure ya wazazi ya kutolifunga kuhofia kutibua kidonda so tumbo likawa kubwa ila baada ya muda likapungua.So Unaweza fanya hivyo na kupunguza kula ovyo na pia umuulize Dr. aliyekuipa kisu, All the besttumbo wala haliwi kubwa mkipata mpasuaji mzuri
Suala sio mpasuaji mzuri inategemea na tumbo ulilokuwa nalo na jinsi utakavyoji tune baada ya upasuaji kwenye masuala ya mlo. Mie nilipigwa kisu na Mimba yangu tumbo lilikuwa kubwa c mchezo baada ya kujifungua sikulifunga na nilipasuliwa vzuri tena chini kabisa kuelekea kwenye kibofu na sio nyuzi za kufumua, Dr. akasema after 4weeks naruhusiwa kulifunga km nina stomach Support sikulifunga due to pressure ya wazazi ya kutolifunga kuhofia kutibua kidonda so tumbo likawa kubwa ila baada ya muda likapungua.So Unaweza fanya hivyo na kupunguza kula ovyo na pia umuulize Dr. aliyekuipa kisu, All the best[/QUO thax