ndekekubanza
New Member
- May 6, 2017
- 1
- 1
Dada zetu hata ukiwa na rangi yako ya asili utavutia tu kwanini ujichubue kwanini uharibu ngozi kwanini ukosoe uumbaji wa Mwenyezi.
We jamaa kila post upo asee .Hasa hasa hawa wadada wa kiafrika...Wanajibagua wenyewe kwa kuchubua ngozi zao. Huo ulimbukeni wa kiwango cha lami wauache
Asante mkuu ila sio zote..baadhi nikipata timeWe jamaa kila post upo asee .
Hongera sana