Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,976
- 707
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
dah! yule mzembe pale nyuma kapotea kabisa ulimwenguni, kapata ka ukumbi kana AC kaona isiwe tabu, mzembe hafai kabisa kuandikishwa jeshi.
hebu nipe upembuzi yakinifu juu ya yule wa mwisho kulia....aminia!!!
hebu nipe upembuzi yakinifu juu ya yule wa mwisho kulia....aminia!!!
dah! nilikuwa sjaona ile lori ya scania, dah mama kachomoza li paja na li mkono tu lakini kachkua nafasi kubwa ya picha kuliko waliotokeza wazima wazima, hakyanani lile limama likikuambia leo hunusi kitu , inabidi urizie tu. dah! senks mkuu kwa kulizoom lile mama.
Siku naona kina cheusi dawa wanapungua tu...
Ila tuache utani, mtoto Jacky Wolper msuuriiii.....:hungry:
dah umenikumbusha mbali kweli.unakuta 'mtoto' mweusiii kama jongoo hafu mzuri yani.O'level tulikuwa nae mmoja wa kihaya,na kama unavyojua figure za kihaya,mtoto guu guu hafu nyuma kafungasha .dah acha kabisa.Mwenzenu demu wa kiafrika napenda awe na melanin ya kutosha!
siku nipate demu wa namna hii,akiwa na vigezo vingine kidogo ninavyovitaka,lazima nitangaze ndoa,duu!
Sauda Mwilima kawa kama mdoli! and above all anachekelea?
Sura kama dubu :redfaces:
Sura kama dubu :redfaces: