Sweta LA Tanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 886
- 2,822
Asubiri nini sasa wakati ni kitendo cha kuandika tuSubiri
Asubiri nini sasa wakati ni kitendo cha kuandika tuSubiri
Mwanzo wa mada nimesema ni vizuri kufanya utafiti wa masoko na ikibidi kwenda, pia apo chini nimeshauri kama mtu hana uzoefu ni vizuri kuanza na bidhaa za bei nafuu.Hizi sites tatizo la buyers wake wanataka utume mzigo kwanza kabla ya pesa. Kuaminiana mtandaoni yataka moyo. Nilijarabu haya tangu 2010~ 2012
Kupata connection sio rahisi kama inavyo andikwa hapa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta website za seller’s and buyer’s ujisajili kama seller,pia ukiona buyer unamtumia quotationAsante kwa Elimu hii bora sana hakika imetufungua wengi..,mi nilikua nahitaji kujua soko la unga wa ubuyu(Baobab fruit powder) lipo nchi gani..?
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi mzuri sana mkuu..
Hiyo ni website gani ya buyers and sellers?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nami ndo nashangaa kwann halijibu coz tumeuliza watu kama watatu hv ila kimya
Sent using Jamii Forums mobile app
Inashangaza ila ngoja tusubiri labda hayupo online
Website zipo nyingi tuu siwezi kushare links hapa nikachezea block ,jaribu ku google ni rahisi tuuAsubiri nini sasa wakati ni kitendo cha kuandika tu
Hata buyer’s pia wanaogopa kutapeliwa ndo maana kila mtu anakuwa na terms zake,cha muhimu ni kudili na website za kuaminika ambazo ni lazima ulipie.. kuna baadhi ya buyer’s huwa wananunua kwanza sample ya product kwa kiasi kidogo ili ajiridhishe ndo aagize mzigo mkubwa.Kupata hiyo connection mpaka mtu aku connect lakini sio hii ya online. Utapeli ni mwingi snaa.
Tamaa mbele....
Kuwa makini tuu
Sent using Jamii Forums mobile app
Go4worldbusiness hiiHii nimojawapo ya site ambayo inawakutanisha seller’s na buyer’s View attachment 1432504View attachment 1432505View attachment 1432506View attachment 1432507View attachment 1432508View attachment 1432509
Go4worldbusiness hiiHii nimojawapo ya site ambayo inawakutanisha seller’s na buyer’s View attachment 1432504View attachment 1432505View attachment 1432506View attachment 1432507View attachment 1432508View attachment 1432509
Hata buyer’s pia wanaogopa kutapeliwa ndo maana kila mtu anakuwa na terms zake,cha muhimu ni kudili na website za kuaminika ambazo ni lazima ulipie.. kuna baadhi ya buyer’s huwa wananunua kwanza sample ya product kwa kiasi kidogo ili ajiridhishe ndo aagize mzigo mkubwa.
Kwa mfano atahitaji uwe una supply karanga kg 1000 kwa kuanzia ataomba utume kwanza kg 10 ajiridhishe kwanza,na ukishakuwa connected na buyer mmoja ni mwanzo mzuri wa kuanza kutengeneza connection.
Mbona kuna watanzania wengi tuu wana export na walianzia posta wewe unakwama wapi ungekuwa umefanya utafiti vizuri basi ungekuwa ushafanikiwa ku export ata bidhaa moja tuu .
Go4worldbusiness hii
Sasa hii mada yako umeileta hapa ili iweje? Si ungeacha tu, watu wata google huko? Naona unajaribu kutengeneza mazingira kufuatwa inbox ili uwapige, hatari sana.Website zipo nyingi tuu siwezi kushare links hapa nikachezea block ,jaribu ku google ni rahisi tuu
Unaenda kupigwa Mkuu, usisahau kutupa mrejesho.Mimi nakufata pm Kama huto jali
Huyu tapeli yaani alishindwa hata kuandika jina kama hivi tu? Anasingizia kuogopa ban, kweli?Go4worldbusiness hii
Unaenda kupigwa Mkuu, usisahau kutupa mrejesho.
Mkuu kama una ogopa kweka link za websites hapa, umeshindwa hata kuandika majina tu ya hizo platforms? Kweli? Unatangaza biashara gani hiyo yenye agenda iliyofichika?Tuheshimiane tafadhali, sijamuomba mtu anifate inbox