Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,271
- 115,188
Mtani kwani unateseka? 🏃♀️🏃♀️Wameletewa ushahidi kwamba sio CAF tu bali hata ligi ya nyumbani. Wanabaki tuachieni timu yetu. Mnapoizungumzia Simba kwani timu yenu?Makwasukwasu baridii. Wakibanwa kidogo tu ulimi nje.