Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,766
- 894
Wana JF.
Naombeni nifahamishwe kwa mwenye ufahamu wa masuala ya uzazi hivi kwa mwanaume kujamiana sana kuna uhusiano wowote na kushindwa kumpa mimba mwanamke!
Na Kumpa mwanamke mimba wakati ana mtoto wa miezi 8 ni salama?
Naombeni nifahamishwe kwa mwenye ufahamu wa masuala ya uzazi hivi kwa mwanaume kujamiana sana kuna uhusiano wowote na kushindwa kumpa mimba mwanamke!
Na Kumpa mwanamke mimba wakati ana mtoto wa miezi 8 ni salama?