Mr simple M
JF-Expert Member
- Sep 18, 2020
- 2,069
- 4,294
Bandugu ebu tupeane Maujanja zaidi ya kutumia hii kitu tomato sauce unayoyajua wewe au ndo kuweka tu kwenye chips kama nijuavyo mimi au kuna vitu zaidi tujuzane tafadhali.
Ahsante
Amani iwe nanyi
Ahsante
Amani iwe nanyi