monta
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 1,125
- 1,459
Wakuu miezi kadhaa iliyopita nilipeleka CV yangu na taarifa zangu za kitaaluma TAESA kama Taasisi ya serikali inayoshughulika na ajira yani (Tanzania Employment Services Agency).
Nimepigiwa simu niende nikareport kwa ajili ya Training ama Mafunzo,sasa je!kuitwa kwaajili ya mafunzo ina maana nafasi ya kazi tayari imepatikana wanataka kunipa direction jinsi ya kufanya ama kuna nafasi ya kujitolea wanataka wanifunze au nivipi yani.
Tafadhali mwenye kujua kuhusiana na hili naomba anitoe tongotongo anipe ABC's kabla sijareport kwa ajili ya hayo mafunzo.
Nimepigiwa simu niende nikareport kwa ajili ya Training ama Mafunzo,sasa je!kuitwa kwaajili ya mafunzo ina maana nafasi ya kazi tayari imepatikana wanataka kunipa direction jinsi ya kufanya ama kuna nafasi ya kujitolea wanataka wanifunze au nivipi yani.
Tafadhali mwenye kujua kuhusiana na hili naomba anitoe tongotongo anipe ABC's kabla sijareport kwa ajili ya hayo mafunzo.