Kuitwa kwenye usaili UDOM tarehe 15-16/10/2011

ooh basi ni kiingereza changu Mpwa ila mimi nimelewa kwamba wote walioomba kazi/nafasi mbalimbali hapo UDOM wanapaswa kufika hapo siku hizo kwa ajili ya usaili huo, ndio nikawa najiuliza kwamba, yaani wooote waliomba wanapaswa kufika hapo? na kama ni hivyo mbona watafika wengi sana? Maana niliwapigia simu baadhi ya watu pale UDOM nao hawaelewi na sidhani kama kuna mtu specific alishakuwa shortlisted na kwamba sasa ndio alikua anaombwa afike kwa ajili ya Orol na Written interview, kama limeeleweka basi mie maswali yangu ni hayo tu, je wafike wote walioomba? kama jibu ni hapana, ntajiuliza tena hivi, je ni nani sasa aende maana hakuna aliyepigiwa simu kuwa yuko shortlisted na kama wakienda wote, kuna uataratibu gani wameuandaa huko wa social needs? asante Mpwa
Mbona tangazo linaeleweka vizuri tu Mkuu????????
 
UDOM!...wanatutega bila kuzingatia hali zetu za kipato kweli huu ni unyanyasaji......au ndo applicants wote ni competent?!..............
 
UDOM!...wanatutega bila kuzingatia hali zetu za kipato kweli huu ni unyanyasaji......au ndo applicants wote ni competent?!..............

wajanja hawa yani hapa tunaanza kujishortlist wenyew, im sure watu kadhaa hawataenda mana hawana nauli, so tunajipunguza afu ukifanya pepa tunajipunguza tena, mwisho wa cku wanabaki wachacheeeeee!
 
huu mtindo u-dom wanaofanya ni usanii-maana kama mtu hataona hili tangazo hata kama ana sifa-imekula kwake-hii kitu ni mbaya sana,majina ya watu waliokuwa shortlisted hakuna kabisa
 
Yaaaa this is rubish busness never experience in ma life hawa jamaa hopeless eheeee yaani mtu afanye mtihani then aitwe kwenye interview kwa hiyo wanadhani wao ni mahiri sana wa kutunga mitihani kuliko vyombo vingine?In this University there is something wrong.Watu wanatafuta kazi alafu wanawapa unnecessary cost.What I know hizo position huwa hazichukui idadi ya watu wengi (administration),Sasa kwa nini wasifanye shortlist wawaite wachache kwa ajili ya interview hta ikiwa ya mtihani wa either kuandika au oral.This is the country kwa kweli.
 
Nashindwa kuelewa kwanini hawa jamaa wametumia nguvu nyingi kiasi hiki kufikiri issue ndogo kama hii. Sijui tunakoelekea kwa kweli,
kama mambo yenyewe ndo haya.
 
Mbona wanaeleweka kabisa.. si wamesema wote walioomba waende, tena wakaweka na categories kabisa na tarehe ya intavyuu.
 
Jamani naomba mtu anayeweza atuwekee hilo tangazo hapa maana c wengine tunatumia cm pdf hazifunguki.
 
ooh pole mpwa, sijui kulitoa kwenye pdf inakuaje labda kuna mtu anaweza kukusaidia
Jamani naomba mtu anayeweza atuwekee hilo tangazo hapa maana c wengine tunatumia cm pdf hazifunguki.
 
Hapa hakuna ambaye hajaelewa kikubwa ni kwamba tangazo lina kera kwa mtu mwenye akili timam ila kama unapenda msaragambo linaeleweka kabisa.Simple exampo ni walioitwa nacte na national audit zile nafac 100. waliomba watu kibao japo interview ilikua kikanda kuna walioumia kiasi kwamba usione nafac ni nyingi ikazani utapata. hiyo ni kujuana mpaka sasa 300 walishafanya wale 100 napo kizaazaa tupu. ngoja tuone mimi niliomba siwez poteza mda wangu japo nina nauli na gpa walizoandika.
 
una akili sana mpwa
Hapa hakuna ambaye hajaelewa kikubwa ni kwamba tangazo lina kera kwa mtu mwenye akili timam ila kama unapenda msaragambo linaeleweka kabisa.Simple exampo ni walioitwa nacte na national audit zile nafac 100. waliomba watu kibao japo interview ilikua kikanda kuna walioumia kiasi kwamba usione nafac ni nyingi ikazani utapata. hiyo ni kujuana mpaka sasa 300 walishafanya wale 100 napo kizaazaa tupu. ngoja tuone mimi niliomba siwez poteza mda wangu japo nina nauli na gpa walizoandika.
 
Naombeni mnipe ratiba kwa watu wa IT NA COMPUTER SCIENCE interview lini?.msaada jamani.cm zinatesa sometime.
 
Jamani nimepitia mtandao wa UDOM nimeona wamekweka tangazo la kuitwa kwenye Interview ila liko tooo general, nimewapigia baadhi ya watu ninaowafahamu hapo UDOM nao hawaelewi kwanini liko hivyo.

Yaani wanataka watu walio-apply waende kwa ajili ya written Interview bila hata kuwa-shortlisted, sijajua wanamaanisha nini hebu nisaidieni mwaya labda kwasababu mimi ni mwalimu wa kiswahili. View attachment 38965

Usipo enda ndo unakuwa shortlisted mwenyewe
 
ANNOUNCEMENT FOR ALL JOB APPLICANTS AT THE UDOM

The University of Dodoma would like to inform all applicants who applied for different positions that there will be a written examination which will be administered in groups at the College Social science and of Humanities. Only applicants who pass the exam will be called for an oral interview. The Groups and time of exam are as indicated below;

GROUP A: Saturday 15th October 2011 from 8:00 am


  • HR/ADMINISTRATIVE OFFICERS
  • WARDENS
  • PUBLIC RELATION OFFICERS
  • PLANNING OFFICERS
  • LIBRARY OFFICERS
  • JANITORS
  • HEALTH ADMINISTRATORS

GROUP B: Saturday 15 October 2011 from 2:00 pm

  • RECEPTIONISTS
  • OFFICE ATTENDANTS
  • PERSONAL SECRETARIES
  • DRIVERS
  • LIBRARY ASSISTANTS
  • RECORD MGT ASSISTANT/ CLERICALOFFICERS
  • NURSING OFFICERS
  • ARTISANS
  • ENROLLED NURSE/MIDWIVES
  • AUXILIARY POLICE
  • LABORATORY TECHNICIANS
  • CLINICAL OFFICERS
  • HEALTH ATTENDANTS
  • ENROLLED NURSE/MIDWIVES
  • LABORATORY TECHNICIANS
  • HEALTH ATTENDANTS
GROUP C: Sunday 16 October 2011 from 8:00 am

  • ACCOUNTS ASSISTANTS
  • SUPPLY/PROCUREMENT ASSISTANTS
  • ASSISTANT ACCOUNTANTS
  • SYSTEM/ NETWORK ADMINS
  • ACCOUNTANTS
  • LABORATORY ENGINEER/SCIENTISTS
  • INTERNAL AUDITORS GAME TUTORS
  • ASSISTANT SUPPLY/PROCUREMENT OFFICERS
  • HEALTH OFFICERS
  • SUPPLY/PROCUREMENT OFFICERS
  • DEPUTY ESTATES MANAGERS
  • INSTRUCTORS
  • ESTATE OFFICERS
 
ANNOUNCEMENT FOR ALL JOB APPLICANTS AT THE UDOM
The University of Dodoma would like to inform all applicants who applied for
different positions that there will be a written examination which will be
administered in groups at the College Social science and of Humanities. Only
applicants who pass the exam will be called for an oral interview.
The Groups and time of exam are as indicated below;

GROUP A: Saturday 15th October 2011 from 8:00 am

HR/ADMINISTRATIVE OFFICERS
LIBRARY OFFICERS
WARDENS
JANITORS
PUBLIC RELATION OFFICERS
HEALTH ADMINISTRATORS
PLANNING OFFICERS

GROUP B: Saturday 15 October 2011 from 2:00 pm

RECEPTIONISTS HEALTH RECORD TECHNICIANS
OFFICE ATTENDANTS HEALTH LAB ASSISTANTS
PERSONAL SECRETARIES HEALTH LAB TECHNOLOGISTS
DRIVERS PHARMACEUTICAL TECHNICIANS
LIBRARY ASSISTANTS ASSISTANT MEDICAL OFFICERS
RECORD MGT ASSISTANT/ CLERICAL
OFFICERS NURSING OFFICERS
ARTISANS ENROLLED NURSE/MIDWIVES
AUXILIARY POLICE LABORATORY TECHNICIANS
CLINICAL OFFICERS HEALTH ATTENDANTS

GROUP C: Sunday 16 October 2011 from 8:00 am

ACCOUNTS ASSISTANTS SUPPLY/PROCUREMENT ASSISTANTS
ASSISTANT ACCOUNTANTS SYSTEM/ NETWORK ADMINS
ACCOUNTANTS LABORATORY ENGINEER/SCIENTISTS
INTERNAL AUDITORS GAME TUTORS
ASSISTANT SUPPLY/PROCUREMENT
OFFICERS HEALTH OFFICERS
SUPPLY/PROCUREMENT OFFICERS DEPUTY ESTATES MANAGERS
INSTRUCTORS ESTATE OFFICERS
 
What if ume-apply, kwa bahati mbaya barua haikuwafikia,,je unaruhusiwa kufanya huo mtihani?

Je kama mimi leo ndo nimeona hilo tangazo, nikazuga niliapply, watanizuia kufanya mtihani?
 
Back
Top Bottom