gustavoo
Senior Member
- Jan 8, 2017
- 119
- 138
Sitaki kukuiga unachofanya ww endelea kulimaWe nenda kalime mapapai tu
Sitaki kukuiga unachofanya ww endelea kulimaWe nenda kalime mapapai tu
hawa onekani kwenye listi hukuwewe umejuaje??
nahisi labda kuna awamu ya pili labda..cjui..Mimi naungana mkono na mdau mmoja kwa swali lake kuwa mbona Records na Office attendant hazijatolewa na dedline ilikuwa moja na hizo za ICT?
Tusiojielewa tupo wengi na ndio maana JPM anahangaika na majipu kila uchao huku tukiwa hatupigi hatua yoyote ya maana kwa miaka karibia 50. Na tatizo zaidi ni sisi tusioelewa kujitambua kuwa hatuelewi hivyo kuendeleza matumaini kwa wengine bila kujua kuwa sisi ndio vikwazo.ww ujielewi kabisa
laki nnehivi ma office attendants hua mishahara yao ni kiasi gani? kwa wanao fahamu tafadhali....
Kwa TPA Attendant anapokea laki 6 mkuulaki nne
Asantelaki nne
ok sawa asanteKwa TPA Attendant anapokea laki 6 mkuu
Aisee ila nyingi mbona na qualification wanahitaji cheti cha form 4..duuhKwa TPA Attendant anapokea laki 6 mkuu
Shirika linazalisha mshiko mrefu, staff lazma walipwe vizuriAisee ila nyingi mbona na qualification wanahitaji cheti cha form 4..duuh