Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 18,719
- 29,236
Habari za siku ndugu zangu.
nahitaji kufaham ni jinsi gani utajua umeitwa kwenye usahili kupitia utumishi webiste au ajira portal?
Wanapiga simu? Unatumiwa email? Au kuna njia nyingine ndani ya website unaweza ona majina ya walioitwa kwenye interview?
Sent using Jamii Forums mobile app
nahitaji kufaham ni jinsi gani utajua umeitwa kwenye usahili kupitia utumishi webiste au ajira portal?
Wanapiga simu? Unatumiwa email? Au kuna njia nyingine ndani ya website unaweza ona majina ya walioitwa kwenye interview?
Sent using Jamii Forums mobile app