Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 18,705
- 40,710
Mimi n ubungo, niko kata hapa now lkn cjaona jina languUpo wap??temeke wamebandika kila kata..kwahy kama haujaona jina lako jua tayar wamevyeka ....uvccm ndo wanachukuliwa sna
Mimi n ubungo, niko kata hapa now lkn cjaona jina languUpo wap??temeke wamebandika kila kata..kwahy kama haujaona jina lako jua tayar wamevyeka ....uvccm ndo wanachukuliwa sna
Nmefika lkn waalimu ndio wanapewa nafasi na wana chemba lao la ndani huko ofisini ndio wanaandika majina, wengine choka mbaya wanapigwa na jua yn kama binadamu wangekuwa n solar panels bc tungekuwa tumeshazalisha umeme wa kutoshaMm n ubungo, niko kata hapa now lkn cjaona jina langu
Msemo sahihi..kwenye occasion sahihi kabisa.Sizitaki mbichi hizi.
Mkuu kwani nawewe uko Dar ?!Upo wap??temeke wamebandika kila kata..kwahy kama haujaona jina lako jua tayar wamevyeka ....uvccm ndo wanachukuliwa sna
Nipo ilemela mwanza lakin nawasilina na watu uko dar wananipa huo ubuyuMkuu kwani nawewe uko Dar ?!
Mtangulize Allah kwa kila jambo, si wote wenye kadi wamepata na si wote wasio na kadi wamekosa.Kukosa kadi ya ccm kumeninyima fursa ya kupata pesa kiulaini..
Lakini kamwe swez kuwa nayo. Najua huu ndio mwisho wao. Mungu ibariki Tanzania, Mungu Mbariki Tundu Lisu. #Niyeye
Niaj mkuu mm nilifanya usail kinondon ila nashangaa sms nimetumiwa na manispaa ya temeke inakuwaj mkuu hii...Waliofanya usaili kino wenzangu mje mnisaidieUpo wap??temeke wamebandika kila kata..kwahy kama haujaona jina lako jua tayar wamevyeka ....uvccm ndo wanachukuliwa sna
Mkuu Nenda kazini acha 'blah blah'. kwani temeke wanafanya bure ?!.Niaj mkuu mm nilifanya usail kinondon ila nashangaa sms nimetumiwa na manispaa ya temeke inakuwaj mkuu hii...Waliofanya usaili kino wenzangu mje mnisaidie
We nenda ukajionee mwenyewe...Niaj mkuu mm nilifanya usail kinondon ila nashangaa sms nimetumiwa na manispaa ya temeke inakuwaj mkuu hii...Waliofanya usaili kino wenzangu mje mnisaidie
Ndo maana ukawekewa nauli elfu ishirin kwa siku fuata maelekezo ulipoitwaHabari zenu jaman...Naomba kujua wale waliofanya usaili manispaa ya kinondoni je sms za kwenda kwenye semina mmepata na je wap mmepangiwa mana mm nashangaa nimefanya kinondon usaili ila nimetumiwa sms jana usiku na manisapp ya temeke kuwa semina duce ...Naomben taarifa wakuu
Subiri utapigiwa simu process zinaendelea so be waitwaliofanya usaili Morogoro matokeo vipi? naona kimya
asante mkuuSubiri utapigiwa simu process zinaendelea so be wait
Watakupigia simu kukupa taarifa ya kiapo na semina.asante mkuu
sawa.asanteWatakupigia simu kukupa taarifa ya kiapo na semina.