Kwan Kigambon washaita watu kwenye usahili!??Hakuna aliyeomba kigambon humu? Nataka kujua kuhusu kituo cha kufanyoa usaili
Kwan Kigambon washaita watu kwenye usahili!??Hakuna aliyeomba kigambon humu? Nataka kujua kuhusu kituo cha kufanyoa usaili
Nimepata na nimeitwa . tayariiU
Ulikua unahofuuu
Umepigiwa simu au na liniNimepata na nimeitwa . tayarii
Kwahiyo semina liniMzee nimeitwa banaa. Hata sijui nini kimetokea eti ahah
Bado ila inakaribiaKwahiyo semina lini
upewe taarifa trh27, trh28 utaenda kufanya nini ikiwa hujaijua shughuli unayoenda kufanya!! Lazima kutakua na semina elekezi.Hiyo unakuja kupangiwa siku ya mwisho kabisa yaani tarehe 27 usiku ndo utaambiwa position yako! Unaweza kuomba usimamizi wa kituo ukapewa ukarani.
Soma vizuri utaelewa... Nimeandika position yako utapangiwa tarehe 27 usiku! Haihusiani na semina!! Semina itafanyika tarehe 25 na 26 mtakuwa wote mliopata nafasi mtapewa Semina ya jumla!!upewe taarifa trh27, trh28 utaenda kufanya nini ikiwa hujaijua shughuli unayoenda kufanya!! Lazima kutakua na semina elekezi.
TemekeJimbo gani
Hongera, kamanda mjini bila conection unaweza usiambulie kituKiliko nikuta jana pale taifa kwa mkapa baada ya kupata nafasi ya kuingia kwenye interview!!...haha naingia tuu nikamuona jamaa yangu ambae nimesoma nae chuoni??jamaa kuniona akaniita kwa ishara ya macho??...nikamfata...akanambia andika jina namba na jimbo lako??kama wanavyo fanya wengine!!!>>jamaaa anacheka hana mbavuu...kuhusu maswali akanambia broo we nenda tuu hhahah!!!
Haha yan atasijui connection nani kanifanyiaHongera, kamanda mjini bila conection unaweza usiambulie kitu
Ulipigiwa simu?Haha yan atasijui connection nani kanifanyia
Ninavyojua majina huwa sorted ktk kata kwahiyo unachotakkwa ni kumgoja upigiwe simu na mkuu wako ktk kata ambayo jina lako limepelkwa ukoUlipigiwa simu?
Sizitaki mbichi hizi.iyo kazi ukiikosa jambo la kushukuru kuna vituo vinakuaga na changamoto utajuta kwanini uliomba.
Sizitaki mbichi hizi.iyo kazi ukiikosa jambo la kushukuru kuna vituo vinakuaga na changamoto utajuta kwanini uliomba.
Amen.iyo kazi ukiikosa jambo la kushukuru kuna vituo vinakuaga na changamoto utajuta kwanini uliomba.
Mm naona kimya mpaka sa h, bila shaka nimepigwa za usoDaaaaaa.....wale tuliokosa nafasi za nec tufamiane.
Upo wap??temeke wamebandika kila kata..kwahy kama haujaona jina lako jua tayar wamevyeka ....uvccm ndo wanachukuliwa snaMm naona kimya mpaka sa h, bila shaka nimepigwa za uso