Kuitwa kwenye interview

Abdul Mganyizi

JF-Expert Member
Oct 28, 2019
1,044
1,996
Ndugu zangu habari za majukumu,nina mdogo wangu wa kike alisoma course ya record and management,sasa ameitwa kwenye interview TRA Dare salaam .Sasa najua humu wajuzi wapo wengi wenye kutoa ushauri kabla ya kwenda kwenye interview afanye nini lakini pia wakati wa interview afanye nini.Kama kuna anaejua huwa wanauliza nini zaidi kulingna na hicho alichokisomae watusaidie kutupa ABC,natanguliza shukrani.
 
Kwanza nampongeza kwa kuitwa hiyo 20% ya kuitwa kazini!
1: amshukuru Mungu kwanza
2: maswali yapo 4 muda ni dakika 40 atumie vizuri muda.
3: ajiandae vizri bila pressure yoyote wala asiangaike kucover topic cjui vitini vya Chuo
3: wingi wa watu usimtishe hata kama nafasi ni 1 mmeitwa 10000 aamini hiyo nafasi ni yake! Utumishi wapo fair 95%
4: atakapofika kwenye usaili atakutana na nyomi ya watu wala asiwe na hofu! Aamini kuwa hiyo nafasi ni yake, wengi usaili wa mchujo wanaanza kufeli kabla ya kuingia kwenye Chumba cha mtihani!
5: maswali yanapima uelewa hivyo ajibu short and clear asiwe na maelezo mengi
6: maswali mengine yanapima unachoelewa nje ya ulichosomea mfano : Explain steps of Time management( hapa wanapima uelewa wako juu ya muda
6: Mara nyingi hawana maswali ya Google hivyo usiangaike na Google labda tu kupata uelewa
8: usahihishaji wapo fair sana!!
9: kufaulu mchujo is probability ila mahojiano sio probability
10: kumbuka utumishi ukifaulu vizur hata usipoitwa kazini utabakizwa database

Note: for more information and advice follow me inbox
 
Kwanza nampongeza kwa kuitwa hiyo 20% ya kuitwa kazini!
1: amshukuru Mungu kwanza
2: maswali yapo 4 muda ni dakika 40 atumie vizuri muda.
3: ajiandae vizri bila pressure yoyote wala asiangaike kucover topic cjui vitini vya Chuo
3: wingi wa watu usimtishe hata kama nafasi ni 1 mmeitwa 10000 aamini hiyo nafasi ni yake! Utumishi wapo fair 95%
4: atakapofika kwenye usaili atakutana na nyomi ya watu wala asiwe na hofu! Aamini kuwa hiyo nafasi ni yake, wengi usaili wa mchujo wanaanza kufeli kabla ya kuingia kwenye Chumba cha mtihani!
5: maswali yanapima uelewa hivyo ajibu short and clear asiwe na maelezo mengi
6: maswali mengine yanapima unachoelewa nje ya ulichosomea mfano : Explain steps of Time management( hapa wanapima uelewa wako juu ya muda
6: Mara nyingi hawana maswali ya Google hivyo usiangaike na Google labda tu kupata uelewa
8: usahihishaji wapo fair sana!!
9: kufaulu mchujo is probability ila mahojiano sio probability
10: kumbuka utumishi ukifaulu vizur hata usipoitwa kazini utabakizwa database

Note: for more information and advice follow me inbox
Ubarikiwe mkuuu
 
Kwanza nampongeza kwa kuitwa hiyo 20% ya kuitwa kazini!
1: amshukuru Mungu kwanza
2: maswali yapo 4 muda ni dakika 40 atumie vizuri muda.
3: ajiandae vizri bila pressure yoyote wala asiangaike kucover topic cjui vitini vya Chuo
3: wingi wa watu usimtishe hata kama nafasi ni 1 mmeitwa 10000 aamini hiyo nafasi ni yake! Utumishi wapo fair 95%
4: atakapofika kwenye usaili atakutana na nyomi ya watu wala asiwe na hofu! Aamini kuwa hiyo nafasi ni yake, wengi usaili wa mchujo wanaanza kufeli kabla ya kuingia kwenye Chumba cha mtihani!
5: maswali yanapima uelewa hivyo ajibu short and clear asiwe na maelezo mengi
6: maswali mengine yanapima unachoelewa nje ya ulichosomea mfano : Explain steps of Time management( hapa wanapima uelewa wako juu ya muda
6: Mara nyingi hawana maswali ya Google hivyo usiangaike na Google labda tu kupata uelewa
8: usahihishaji wapo fair sana!!
9: kufaulu mchujo is probability ila mahojiano sio probability
10: kumbuka utumishi ukifaulu vizur hata usipoitwa kazini utabakizwa database

Note: for more information and advice follow me inbox
hiyo follow me inbox ya nini
 
Kwanza nampongeza kwa kuitwa hiyo 20% ya kuitwa kazini!
1: amshukuru Mungu kwanza
2: maswali yapo 4 muda ni dakika 40 atumie vizuri muda.
3: ajiandae vizri bila pressure yoyote wala asiangaike kucover topic cjui vitini vya Chuo
3: wingi wa watu usimtishe hata kama nafasi ni 1 mmeitwa 10000 aamini hiyo nafasi ni yake! Utumishi wapo fair 95%
4: atakapofika kwenye usaili atakutana na nyomi ya watu wala asiwe na hofu! Aamini kuwa hiyo nafasi ni yake, wengi usaili wa mchujo wanaanza kufeli kabla ya kuingia kwenye Chumba cha mtihani!
5: maswali yanapima uelewa hivyo ajibu short and clear asiwe na maelezo mengi
6: maswali mengine yanapima unachoelewa nje ya ulichosomea mfano : Explain steps of Time management( hapa wanapima uelewa wako juu ya muda
6: Mara nyingi hawana maswali ya Google hivyo usiangaike na Google labda tu kupata uelewa
8: usahihishaji wapo fair sana!!
9: kufaulu mchujo is probability ila mahojiano sio probability
10: kumbuka utumishi ukifaulu vizur hata usipoitwa kazini utabakizwa database

Note: for more information and advice follow me inbox
Kwa kweli mwenye fairness wapo fair sana kuna moja niliipigaga cut off point ilikua 62 nikawanimebonda 77 oral nikatoboa nakua 2...
 
Kwanza nampongeza kwa kuitwa hiyo 20% ya kuitwa kazini!
1: amshukuru Mungu kwanza
2: maswali yapo 4 muda ni dakika 40 atumie vizuri muda.
3: ajiandae vizri bila pressure yoyote wala asiangaike kucover topic cjui vitini vya Chuo
3: wingi wa watu usimtishe hata kama nafasi ni 1 mmeitwa 10000 aamini hiyo nafasi ni yake! Utumishi wapo fair 95%
4: atakapofika kwenye usaili atakutana na nyomi ya watu wala asiwe na hofu! Aamini kuwa hiyo nafasi ni yake, wengi usaili wa mchujo wanaanza kufeli kabla ya kuingia kwenye Chumba cha mtihani!
5: maswali yanapima uelewa hivyo ajibu short and clear asiwe na maelezo mengi
6: maswali mengine yanapima unachoelewa nje ya ulichosomea mfano : Explain steps of Time management( hapa wanapima uelewa wako juu ya muda
6: Mara nyingi hawana maswali ya Google hivyo usiangaike na Google labda tu kupata uelewa
8: usahihishaji wapo fair sana!!
9: kufaulu mchujo is probability ila mahojiano sio probability
10: kumbuka utumishi ukifaulu vizur hata usipoitwa kazini utabakizwa database

Note: for more information and advice follow me inbox

Hv wakuu hyo fair Kwenye usahihishaji upoje mbna Mimi najitahidigi kumwaga wino lakini nambulia marks 8 zkizidi sana 30 au 40 adi nakata tamaa
 
Back
Top Bottom