Siku hizi mashirika yamegeuka kutangaza huku wakiwa na vimemo viunoni,, nadhani watakuwa wameshawafyekelea ,mbaliHabari wakuu, kuna ambaye ameshaitwa kwenye usahili MDH kwa kazi walizotoa September na November?
Huu ni ukweli mchungu kwakweliSiku hizi mashirika yamegeuka kutangaza huku wakiwa na vimemo viunoni,, nadhani watakuwa wameshawafyekelea ,mbali
Watu waliitwa interview, na waliopita interview wako kazini tayari. Pole sana, usikate tamaa.Habari wakuu, kuna ambaye ameshaitwa kwenye usahili MDH kwa kazi walizotoa September na November?
nayosema ni kweli mkuu?Tumeanza kazi toka mwezi wa kumi na moja
Nazingua mkuu. Mtafute mtu anayefanya kazi hapo atakupa authentic infonayosema ni kweli mkuu?
Tupo kula mashahara wa pili na posho ya sikukuku tumepewa juziNi kweli mkuu?
Owky,enjoy
Ni kweli mdada. Endelea kupambana though, usikate tamaa. Tinnah999Ni kweli mkuu?
Endelea kuisomaHabari wakuu, kuna ambaye ameshaitwa kwenye usahili MDH kwa kazi walizotoa September na November?