Kuitwa kwenye interview MSD

MAUBIG

JF-Expert Member
Apr 3, 2012
1,038
854
HABARI wanabodi,

Ndugu XXXXXXX, MSD inakukaribisha kwenye usahili kwa nafasi uliyoomba ya Administrative Officer itakayofanyika siku ya Jumatano tarehe 14/6/17 saa 3:00 asubuhi shule ya Sekondari Chang'ombe ndani ya DUCE, Dar es Salaam. Tafadhali fika na kitambulisho chako. Gharama za usafiri hazitarudishwa.
Kwa maelezo zaidi piga +255 22 2860890/7

KAMA UJUMBE UNAVYOJIELEZA, nilitumiwa huo ujumbe jana jioni, shida yangu ni msaada wa majibu ya maswali yafuatayo kwa ambao mmeshafanya interview na MSD kwa kada nyingine

1. Je shortlisting yao kwa makadirio ni chini ya applicants 100, au zaidi ya 100 au maelfu kama waajiri wengine wa SERIKALI wanavyofanya.

2. Ni aina gani ya maswali wanauliza, je ni general knowledge questions au ni specific kwa kada husika, pia sample ya maswali kama unayoitakuwa vema


NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU ZA DHATI,
 
mkuu kama una uwezo we nenda tu hata kama uko marekani nishafanya interview ya watu 2000 hukohuko duce Mungu akasaidia unajuaje kama na wewe ni mlango wako huu hiyo nauli unayohofia siyo kubwa kuliko future yako hata usipopata hii kuna kitu utagain maswali yanaulizwa ya darasani kulingana na kada yako ila kwa hiyo position sina hakika, all the best.
 
mkuu kama una uwezo we nenda tu hata kama uko marekani nishafanya interview ya watu 2000 hukohuko duce Mungu akasaidia unajuaje kama na wewe ni mlango wako huu hiyo nauli unayohofia siyo kubwa kuliko future yako hata usipopata hii kuna kitu utagain maswali yanaulizwa ya darasani kulingana na kada yako ila kwa hiyo position sina hakika, all the best.
Pamoja sana kaka
 
Jamani nilazma kwenda na vyeti au kitambulisho too kinatosha.maana me najua kuwa apo huwa ni kwenda kwenye paper zen mengne ndo yanafuata
 
Back
Top Bottom