Kuitwa kazini UDOM

ejoki

Member
Aug 5, 2011
43
1
Wakuu nilifanya interview mwezi wa saba mwishoni (Academic posts) pale UDOM. Ila naona kimya mpaka leo, je wameshaita kazini?
Nani ana taarifa juu ya hili anisaidie.
 
Wakuu nilifanya interview mwezi wa saba mwishoni (Academic posts) pale UDOM. Ila naona kimya mpaka leo, je wameshaita kazini?
Nani ana taarifa juu ya hili anisaidie.

Watu wamesha ripoti long time
We ulidondokea pua ndo maana unaona kimyaa
 
Wakuu nilifanya interview mwezi wa saba mwishoni (Academic posts) pale UDOM. Ila naona kimya mpaka leo, je wameshaita kazini? Nani ana taarifa juu ya hili anisaidie.

Bado mzee, si uliulizwa utakuwa tayari mwezi wa ngapi kufanya kazi na ukajibu September, kwa hiyo utaitwa hivi karibuni. Nami nilifanya wakati huo huo na nimeambiwa tutaitwa September.
 
Kama ni hivyo safi sana Mfwalamanyambi, naona week inaweza isiishe tutaitwa UDOM. Ingawa nilisikia week ijayo wanaanza interview (Non Academic posts) sijui lipi ni la ukweli sasa
 
Kama ni hivyo safi sana Mfwalamanyambi, naona week inaweza isiishe tutaitwa UDOM. Ingawa nilisikia week ijayo wanaanza interview (Non Academic posts) sijui lipi ni la ukweli sasa
<br />
<br />
cjakusoma kwani non academic post washaita???
 
UDOM wanakwenda kwa mfumo wa WHO knows WHO! So usijipe hope sana lolote laweza kutokea unless ni mpango wa Mungu uwe pale then utaitwa, coz mfumo wao hauwezi kushidana na uweza wa Mungu.
 
Non Academic posts hawajaita bado ila wadadisi wa mambo wanasema siku si nyingi wataanza kuita
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom