hatibu juma
JF-Expert Member
- Mar 19, 2012
- 278
- 36
:A S angel::high5:UKWELI WA YOTE WANAUJUA SEMA KUNA MSEMO USEMEO USIJIVUNJE MOYO KWENYE MASHINDANOOOOO YEYOTE JARIBU TU //////LAKINI USEMI HUO --------- KUWADANGANYA WANANCHI
Kumbe kuna uwezekano UKAWA ikasambaratika.Acha kudanganyanya watu kama siyo unajidanganya. Pona ya ccm ni kusambaratika kwa UKAWA, vinginevyo 2015, watakuwa kama KANU vs NARC.
Acha kudanganyanya watu kama siyo unajidanganya. Pona ya ccm ni kusambaratika kwa UKAWA, vinginevyo 2015, watakuwa kama KANU vs NARC.
Ccm labda ipasuke lakini kelele za akina Mbowe na slaa haziwezi itoa madarakani kamwe
Kwani ukawa imesajiliwa wapi,je mda uliobaki unatosha kuisajili ukawa nyerere alisema acheni vyama vya upinzani vianze lakini vitakufa vyenyewe lakini upinzani wa ukweli utatoka ndani ya ccm.Acha kudanganyanya watu kama siyo unajidanganya. Pona ya ccm ni kusambaratika kwa UKAWA, vinginevyo 2015, watakuwa kama KANU vs NARC.
:A S angel::high5:UKWELI WA YOTE WANAUJUA SEMA KUNA MSEMO USEMEO USIJIVUNJE MOYO KWENYE MASHINDANOOOOO YEYOTE JARIBU TU //////LAKINI USEMI HUO --------- KUWADANGANYA WANANCHI
:A S angel::high5:UKWELI WA YOTE WANAUJUA SEMA KUNA MSEMO USEMEO USIJIVUNJE MOYO KWENYE MASHINDANOOOOO YEYOTE JARIBU TU //////LAKINI USEMI HUO --------- KUWADANGANYA WANANCHI
:A S angel::high5:UKWELI WA YOTE WANAUJUA SEMA KUNA MSEMO USEMEO USIJIVUNJE MOYO KWENYE MASHINDANOOOOO YEYOTE JARIBU TU //////LAKINI USEMI HUO --------- KUWADANGANYA WANANCHI
Ni kweli kama katiba iliyopo haitabadilika, tume ya uchaguzi ibaki kama ilivyo,police ccm, usalama wa taifa, rushwa hapo magamba hayabanduki. Timu pinzani itashindaje kama refa ni wao, wasadizi wa refa ni wao na kamisaa ni wao??
Acha kudanganyanya watu kama siyo unajidanganya. Pona ya ccm ni kusambaratika kwa UKAWA, vinginevyo 2015, watakuwa kama KANU vs NARC.