Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
CCM imekita mizizi iliyokomaa, na hii ni kutokana na UTUMISHI wake uliotukuka kwa wananchi. Hivi vyama vingine ni vya kilaghai.
Kinachonifurahisha kwenu nyie magamba ni correlation inayoonekana kati ya IDs zenu na michango yenu! Wewe kweli ni mdudu na akili zako ni za kidudu, eti "utumishi uliotukuka"!