nashangaa watu wapenzi wa CCM kuitetea chama chao kwa propaganda hata katika mambo mazito kama ya kuuwa binadamu!! hivi ndugu yako akiuwawa katika mazingira ya Mwangosi ,Bomu la Arusha la 15th na n.k bado utatumia propaganda chafu kukisifia chama chako!!?
Utu umetoweka hakika kisa mali na madaraka!!! Huu ni ushetani ,watetezi wa CCM nendeni kwenye ibada za kishetani kwa sababu za Mungu muumba haziwahusu.
Utu umetoweka hakika kisa mali na madaraka!!! Huu ni ushetani ,watetezi wa CCM nendeni kwenye ibada za kishetani kwa sababu za Mungu muumba haziwahusu.