At Calvary
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 4,513
- 3,554
Kwani umezungumziwa ugonjwa wa mtu hapo?Umechanganyikiwa mkuu , Chadema inahusika nini na ugonjwa wa mtu ? Mwanadamu aliyezaliwa na Mwanamke siku zake si nyingi , hakuna haja ya kujimwambafy
Kwani umezungumziwa ugonjwa wa mtu hapo?Umechanganyikiwa mkuu , Chadema inahusika nini na ugonjwa wa mtu ? Mwanadamu aliyezaliwa na Mwanamke siku zake si nyingi , hakuna haja ya kujimwambafy
Lowassa wa wapi?Kwani Lowasa hakushinda 2015? Unahitaji degree kulitambua hilo? Tume ya uchaguzi yote ni kibaraka wa ccm, vyombo vyote vya dola ni kibaraka wa ccm.
Kwani umezungumziwa ugonjwa wa mtu hapo?
Wewe mwenyewe tena pekee ndiye unaona umbea upo kwa wapinzani, lakini wananchi wanaona na wanajua umbea chuki fitna zipo CCM kwenyewe, haitachukua karne wapinzani kuingia ikulu kwa sababu wananchi huwachagua kipindi cha uchaguzi ingawa CCM huwaibia kura zao zote, hakuna kizani cha kusimulia kuwepo kwa chadema kwani chadema haitakufa ipo milele japo mnakazana kuiteketeza kwa bidii pasipo kujua upinzani upo rohoni mwa watu kama CCM wenyewe walivyowaonyesha kipindi magufuli anaumwa.Kwa siasa za udaku na umbea za upinzani
Itawachukua karne upinzani kuingia ikulu
2020 kuna hatari vizazi vijavyo vikasimuliwa kuliwahi kuwepo chama kinaitwa Chadema
CCM kwa mamia wanamchukia magufuli pengine hata kuliko wapinzaniJitutumue tu ungeona umma ulivyolipokea jambo hili usingecomment utumbo huu. Jamaa hapendwi hata chembe hata midoli imemchoka.
Kamwingiza mjini nani? Kigogo kamsaidia magufuli kujua kuwa CCM wengi hawamtaki hawampendi kabsaHahaaaaaa Kigogo kawaingizeni mjini
Kamuonyesha magufuli kuwa ndani ya CCM anao maadui wa kutoshaKigogo anaemaje?
CCM wenyewe ndiyo waliongoza kusherekea kuumwa kwake, wana CCM wengi hawampendi kabsaJitutumue tu ungeona umma ulivyolipokea jambo hili usingecomment utumbo huu. Jamaa hapendwi hata chembe hata midoli imemchoka.
Huwapendi wewe mchawi wa Ruangwa lakini mbona CCM wenzako hawampendi magufuli? Ufisadi wote nchini umefanywa na watu wa CCM Takukuru waanze na wewe na wale waliopitisha makontena kwa kibali cha RC wako, unafiki chuki ubaya wote upo huko huko CCM usifikiri magufuli hajawajua sasa.Naona raia wa burundi wamejazana hapo kumsikiliza mzushi akizusha jipya hapo hahahaaaaa ila hamna watu siwapendi kama hawa wanasiasa wa upinzani maana ni wanafiki, mafisadi, weziiii, majizi, alafu yanajifanya yanapigania haki za wa tz maskini pumbavu sana hawa. Takukuru mkimaliza huko lindi kwenye ufuta hamieni kwa hawa mafala wa upinzani.
Acha uzuzu wako usizani watanzania ni wajinga kama wewe binafsi, hakuna asiyejua kuwa CCM wasiompenda magufuli ndiyo walifurahia taharuki ya juzi kuliko vyama vya upinzani ingawa CCM kwa kujikosha wameamua kuwapakazia wapinzani uzushi wakiamini pengine watanzania wataamini uzushi wao kumbe wamechelewa kila mmoja anajua Adui wa magufuli ni CCM wenyewe.Muulize uongo aliowaongopea Ijumaa umeishia wapi? Na nyinyi nyumb basi mjitambue kidogo basi?? Ameshawageuza kama peer sasa mko Kigoma!!
TanzaniaLowassa wa wapi?
CCM bila kuiba kura hawashindi hakuna Mtanzania anayejitambua hupiga kura kwa mgombea wa CCMMwingine ambaye hakushinda ni Harrison Mwakyembe
HAWATAINGIA KAMWEKwa siasa za udaku na umbea za upinzani
Itawachukua karne upinzani kuingia ikulu
2020 kuna hatari vizazi vijavyo vikasimuliwa kuliwahi kuwepo chama kinaitwa Chadema
Kama ndiyo hivyo kwa nini wasiende kwenye mikutano ya.ccm na kujaza uwanja? Ni punguani tu ndiye anaweza kuamini kwamba ccm inapendwa na watanzania wote! Nakubaliana na mleta mada kwamba ccm inapumua kwa msaada wa POLISI na gheshi!Mkuu;
Mara hii umeishasahau ''mafuriko ya Lowassa''!
Hoja sio kujaza watu bali hao watu uliojaza wamekubaliana na ulichokisema na pia wamekifanyia kazi!
Kumbuka kwa wengine mikutano kama hii ni sehemu ya kwenda kupitishia siku baada ya kazi!
Baada ya uchaguzi mnakuja na kelele mkisema wameiba kura!
Ni Dodoma pekee ndipo ccm haihitaji msaada wa polisi kuiba kura.Chaguzi za marudio polisi wanatosha,uchaguzi mkuu sijui watawapata wapi polisi wa kutosha vituo vyote Nchi nzima.CCM bila kuiba kura hawashindi hakuna Mtanzania anayejitambua hupiga kura kwa mgombea wa CCM
Chama chochote kinachobebwa na dola badala ya Sera ni chama mfuHAWATAINGIA KAMWE
wananchi tunakikubali.kura tunakwenda kupiga kwa wingi.Chama chochote kinachobebwa na dola badala ya Sera ni chama mfu
Mbona walisusa kujiandikisha kwann awakujitokeza kwa wingiwananchi tunakikubali.kura tunakwenda kupiga kwa wingi.
endelea kusema tunabebwa na dola
mkipata sana kuanzia serikali za mitaa ni 1%ya viti mtakavyopata
mlisusa nhie chadema na genge lenu ila sisi tulijiandikisha kwa wingi tuMbona walisusa kujiandikisha kwann awakujitokeza kwa wingi
Mama wa nyumbani kula kulala ndo huwa na akili mgando ndo uchagua ccm,huwezi kuta mwanamke mpambanaji anayejishughulisha apitiaye changamoto za maisha sababu ya Sera mbovu za ccm akaichaguawananchi tunakikubali.kura tunakwenda kupiga kwa wingi.
endelea kusema tunabebwa na dola
mkipata sana kuanzia serikali za mitaa ni 1%ya viti mtakavyopata