Buhingwe uchaguzi wa marudio mlipeleka polisi 400 kupora kura.Je watatosha polisi vituo vyote uchaguzi mkuumlisusa nhie chadema na genge lenu ila sisi tulijiandikisha kwa wingi tu
Buhingwe uchaguzi wa marudio mlipeleka polisi 400 kupora kura.Je watatosha polisi vituo vyote uchaguzi mkuumlisusa nhie chadema na genge lenu ila sisi tulijiandikisha kwa wingi tu
Kwa siasa za udaku na umbea za upinzani
Itawachukua karne upinzani kuingia ikulu
2020 kuna hatari vizazi vijavyo vikasimuliwa kuliwahi kuwepo chama kinaitwa Chadema
Hii kauli kila nikifikiria inaumiza sana huyo si binadamu wa kawaidaMkuu;
Mara hii umeishasahau ''mafuriko ya Lowassa''!
Hoja sio kujaza watu bali hao watu uliojaza wamekubaliana na ulichokisema na pia wamekifanyia kazi!
Kumbuka kwa wengine mikutano kama hii ni sehemu ya kwenda kupitishia siku baada ya kazi!
Baada ya uchaguzi mnakuja na kelele mkisema wameiba kura!
Kwani Lowasa mlimshinda?Mkuu;
Mara hii umeishasahau ''mafuriko ya Lowassa''!
Hoja sio kujaza watu bali hao watu uliojaza wamekubaliana na ulichokisema na pia wamekifanyia kazi!
Kumbuka kwa wengine mikutano kama hii ni sehemu ya kwenda kupitishia siku baada ya kazi!
Baada ya uchaguzi mnakuja na kelele mkisema wameiba kura!
Mkuu;
Mara hii umeishasahau ''mafuriko ya Lowassa''!
Hoja sio kujaza watu bali hao watu uliojaza wamekubaliana na ulichokisema na pia wamekifanyia kazi!
Kumbuka kwa wengine mikutano kama hii ni sehemu ya kwenda kupitishia siku baada ya kazi!
Baada ya uchaguzi mnakuja na kelele mkisema wameiba kura!
Chama gani?Tanzania
Umesahau Mara hii Mbowe alipotangaza kufanya ziara jimboni kwake kuongea na wapiga kura polisi walimjibu vipiUtakua na matatizo toka lini serekali ikazuia mbunge kuongea jimboni kwake
Ukweli mchungu utabaki palepale, ccm waliiba kura za Lowassa mwaka 2015, usipolielewa hili utakuwa na tatizoMkuu;
Mara hii umeishasahau ''mafuriko ya Lowassa''!
Hoja sio kujaza watu bali hao watu uliojaza wamekubaliana na ulichokisema na pia wamekifanyia kazi!
Kumbuka kwa wengine mikutano kama hii ni sehemu ya kwenda kupitishia siku baada ya kazi!
Baada ya uchaguzi mnakuja na kelele mkisema wameiba kura!
Si walipewa io sababuUmesahau Mara hii Mbowe alipotangaza kufanya ziara jimboni kwake kuongea na wapiga kura polisi walimjibu vipi
Haitawezekana kwa sababu DC Sabaya nae Ana ziara ya kukagua miradi ya maendeleo? Kumbukumbu ni muhimu Sana. Tukubaliane tu kuwa Tz hakuna fair political ground!
ccm ina vijana wajinga sana !Ukweli mchungu utabaki palepale, ccm waliiba kura za Lowassa mwaka 2015, usipolielewa hili utakuwa na tatizo
Buhingwe uchaguzi wa marudio mlipeleka polisi 400 kupora kura.Je watatosha polisi vituo vyote uchaguzi mkuu