Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,120
- 27,932
Hautaki kusoma magazine na kuangalia movieSasa kumbe je
Hautaki kusoma magazine na kuangalia movieSasa kumbe je
Hayo mambo ya ulaya tu! Huku kwetu tukijifungia ndani tunapelekeana moto tu hadi majirani waone wivuHautaki kusoma magazine na kuangalia movie
Hivi Leo ulipata supu asubuhi?Hayo mambo ya ulaya tu! Huku kwetu tukijifungia ndani tunapelekeana moto tu hadi majirani waone wivu
Dah hata sijapata wangu, nije wapi sasa tufuturu maana leo nahitaji chupa la uji mzito wa uleziHivi Leo ulipata supu asubuhi?
"Mbona na wewe ulichepuka"....maana take anasubiria ww ufanye makosa ili yeye alipizie.Nachukia pale mwanamke anapoleta ushindani ndani ya nyumba.
Ukiona mkeo unapomuuliza kitu hususani kama kakosea anakujibu kwa kuanza na sentence hii"Mbona na wewe....
Hapo ndoa haina muda mrefu itavunjika tena kwa uhasama kwa sababu alishaanza vita ya chini chini.
Subili kidogo nitakujulisha sehemu nzuriDah hata sijapata wangu, nije wapi sasa tufuturu maana leo nahitaji chupa la uji mzito wa ulezi
Sawa sawa
Duu!"Mbona na wewe ulichepuka"....maana take anasubiria ww ufanye makosa ili yeye alipizie.
pembeni nna kopo la 500g Caresons BabyCare , burudani kabisaNa baridi hili Kama huna mzigo mtu mzima huna budi 'kunyetuka'
Pambnia ndoa yako, si ulimchagua mwenyewe mkuu?Bado nipo zangu bar napata ulabu, yakinijia tu mawazo ya kurudi pale afghanstani moyo unashtuka paaah
Ww umeoa mkuu? Ushawahi kukutana na mwanamke aliyebarikiwa mdomo? Yaani ana uchapa mdomo kma cherehaniPambnia ndoa yako, si ulimchagua mwenyewe mkuu?
Sasa huo ulabu si ndiyo unakupoteza kabisa, unatakiwa uwe kamili ili kutatua changamoto zote!Bado nipo zangu bar napata ulabu, yakinijia tu mawazo ya kurudi pale afghanstani moyo unashtuka paaah
wakati mwingine sababu zinakuwa zako, embu msikilize akwambie anataka nini tatizo mnawapuuzi hivyo wanarundika mihemkoWw umeoa mkuu? Ushawahi kukutana na mwanamke aliyebarikiwa mdomo? Yaani ana uchapa mdomo kma cherehani
Eti Afghanistan!Bado nipo zangu bar napata ulabu, yakinijia tu mawazo ya kurudi pale afghanstani moyo unashtuka paaah
Mogadishu kakaEti Afghanistan!
Vitu vya ajabu mkuu, ww mtu anakuambia i love you hunny ukimjibu i love you too, tayari ni kesi kubwa sna kma ni chakula anaweza piga teke, kisa eti sijamalizia “i love you too baby”wakati mwingine sababu zinakuwa zako, embu msikilize akwambie anataka nini tatizo mnawapuuzi hivyo wanarundika mihemko