Suzie
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 1,259
- 409
si mnanasema dar ndio jiji pekee apa bongo mengine yamefulia,so ni vyema kuilinganisha na majiji mengine duniani.
By then hatuwezi wote kulingana kifedha iyo laki mbili kwangu sio ndongo,lakini kuna watu iyo laki mbili ni wese la siku 1 na si wiki moja kama unavyodai.
kumbuka dhuluma ni mbaya ata kama ni shilingi 1.
Kijana unalia sana embu weka namba zako za simu nikuforwardie Mobile money fasta, povu limekuwa jingi ila usisahau ndo Dar ya leo si ya kina Kiranga vijana wote mjini mnajuana sasa hivi hata jirani yako humjui hahahaaaa
Last edited by a moderator: