domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,545
- 1,719
Sintofahamu inayoendelea katika Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimegubikwa na sarakasi na nadharia nyingi. Moja ikiwa viongozi wa kamati kuu wanafanya usanii kwa kujidai kuwafukuza wabunge wale 19 uanachama wakati walifahamu fika mchezo mzima na walikuwa wakifahamu wale wabunge wakishaapishwa wataendelea kubaki na ubunge hivyo wao kama wajumbe wa kamati kuu na 'waume' wa waheshimiwa wabunge wale watanufaika na ubunge wao, hivyo kujifanya kuwafukuza wakati matunda ya ubunge wanayala ni usanii.
CHADEMA, kwa muda mrefu Sasa imekuwa ikishutumiwa kufanya teuzi za viti maalum kwa viongozi wakuu kupewa rushwa ya ngono. Je, inawezekana rushwa ya ngono ndiyo iliyopelekea 'ndoa' hizo kutokea au zilitokea tu kwa misingi ya kibinadamu?
Sasa umefika wakati wa wajumbe wa kamati kuu, akina Salum Mwalimu na wenzake kutoka hadharani ku-declare interests ili umma ufahamu kwa hakika usafi wao na kuondoa minong'ono na manung'uniko kuwa inakuwaje mume asifahamu mkewe kaenda kuapishwa wakati wanaishi nyumba moja?
Ugomvi wa Salum Mwalimu na Mbunge Sugu katika viti maalum baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 kuisha kunalazimisha wajumbe wa kamati kuu kutoka mbele ya hadhara kuonesha usafi wao kama wao ni wasafi.
Umefika muda Chadema wafunguke kuhusu tuhuma za mapenzi, unyanyasaji kijinsia na rushwa ya ngono ndani ya chama.
CHADEMA, kwa muda mrefu Sasa imekuwa ikishutumiwa kufanya teuzi za viti maalum kwa viongozi wakuu kupewa rushwa ya ngono. Je, inawezekana rushwa ya ngono ndiyo iliyopelekea 'ndoa' hizo kutokea au zilitokea tu kwa misingi ya kibinadamu?
Sasa umefika wakati wa wajumbe wa kamati kuu, akina Salum Mwalimu na wenzake kutoka hadharani ku-declare interests ili umma ufahamu kwa hakika usafi wao na kuondoa minong'ono na manung'uniko kuwa inakuwaje mume asifahamu mkewe kaenda kuapishwa wakati wanaishi nyumba moja?
Ugomvi wa Salum Mwalimu na Mbunge Sugu katika viti maalum baada ya uchaguzi mkuu wa 2015 kuisha kunalazimisha wajumbe wa kamati kuu kutoka mbele ya hadhara kuonesha usafi wao kama wao ni wasafi.
Umefika muda Chadema wafunguke kuhusu tuhuma za mapenzi, unyanyasaji kijinsia na rushwa ya ngono ndani ya chama.