Kuiondoa CCM madarakani ni rahisi kuliko wakati wowote ule, tuanze kujipanga

Chawa wa Taifa hili CCM 2025 kama wakitaka wasitake wanaondoka na tutawabanja kikwelikweli, na wito wanaoikataa CCM waikatae kuanzia sasa,kama upo CCM basi huko hakukufai hama na mapema,mambo ya kudandia mmeyaona,Nyarandu kawekwa pembeni,Membe kamembuka eti leo ndio wamejua kama nyimbo walizokuja nazo haziimbiki ugenini,wamerudi zao bila ya kurudishwa,kwa hiari yao wametokwa na kauli tata na wasiojielewa wakazivamia,nyimbo haiimbiki ugenini.

CCM ni makundi makundi , yamejivisha ngozi ya kondoo kwa sasa,tunaona Mwenyekiti wa CCM anavyookoteza,ni wazi anapapasa kizani,na 2025 wahafidhina wanampiga na chini ili kuchomeka mtu wao.

Heshima ya Raisi Samia ni kuweka mazingira mazuri ya uchaguzi tume huru na katika ili kuisaidia Nchi yake ya Zanzibar,anatakiwa afahamu tu ardhi na mbingu ni vitu viwili tofauti na waswahili wanamsemo mtu kwao,Bwana yule kajenga kwao mpaka uwanja wa ndege ,wewe nawe ijenge kwenu kwa kuweka katiba sawa.

Ila kwa ujumla CCM tunaipiga na chini huku Tanganyika. 2020 imetosha.

hapa ni kipindi ccm inawapa msaada
1619945526567.png


hapa mkaamua kua wenyewe
1619945614822.png
 
Mkuu Mh Lissu yuko nje ya nchi. Wakati wa sakata la kutoonekana kwa mwendazake Mh Lissu alikuwa na full information dhidi yake. Nani alimpatia? Je ni Wapinzani wa Jiwe ndani ya CCM au nje ya CCM?? Ukipata jibu basi utaelewa kuwa Jiwe limeweza kuyeyuka why not CCM??

Full information? 😂 😂 😂 😂 alipelekwa same hospital na ile aliolazwa lissu, is that what you call full information?
 
Umeandika sana ila shida ni kuwa umejaza pumba na umbea
Kabla ya kufikiria kuitoa CCM madarakan, anza kwanza na wenyeviti wa vyama vya upinzani ambao ndio kikwazo kikubwa kwa upinzani kushika dola. Kuthibitisha hili ninaloandika hapa hebu rudisha akili yako nyuma mwaka 2005, CUF ilikuwa na nguvu na almanusura kishike dola kama sio Tanzania nzima basi Zanzibar lkn kilichotokea mliona, ilifanyika figisu ya kupakiza majambia ndan ya meli (bila shaka Lipumba alikuwa anafaham kinachoendelea) na baada ya hapo kilichotokea ni kukamatwa majambia na CCM kuitumia hiyo kete kupata ushindi wa kishindo. Mwaka 2015 huu ndio ulikuwa mwaka wa mwisho kwa CCM kubaki madarakan maana mpk wasomi na wafanyakaz mbali mbali walionesha kuchokwa na sera za CCM pamoja na CCM yenyewe, lkn kilichofanyika kila mtu anajua ukiwemo mleta mada, mwenyekiti Mbowe aliacha watu waliokipigania chama miaka mingi kwa jasho na damu kama kina dr Slaa nk, watu waliokisadia chama kujenga misingi imara ya uongozi chamani na kuleta sera nzuri zenye ushindan mkubwa ktk siasa za Tanzania na badala yake akabadili gia angani kwa kuleta watu ambao hawakuwa na sifa za kuweza kushinda uchaguzi ule wala kuongoza nchi eti ndo wagombee uraisi, ubunge nk (pia hapa naamini Mbowe na yeye alikuwa anajua kama hawatoshinda lkn alifanya vile kwa sababu ambazo zitabaki kuwa ni siri yake yeye na wahusika wenzake) . Mwaka 2000 ndio kbs wagombea wa upinzani badala ya kutangaza sera zao wao walikuwa wanatangaza matatizo yao, so kwa style hii CCM kutoka ni ndoto nadhan hata mleta mada moyoni unakiri hili!
 
Mmekuwa wapiga lamli now days.

Hata Mlopokajiweni mkuu alisema tutashtakiwa MIGA mbakaleo kimya, nyinyi wachimbachumvi mnakaukamate humu kwa kuchonga midomoyenu hali mkijua kabisa kazi za Magu ziliwakosha wananchi kiasi kwamba hatamkiongea nini mnaonekana wahunitu.

Aisee jipangeni sana labda miaka 30 ijayo.
Huwa nakuona kama una akili za kijiwejiwe, yaani upo kama jiwe(Hope ni sifa kwako na siyo dhihaka)
 
Kabla ya kufikiria kuitoa CCM madarakan, anza kwanza na wenyeviti wa vyama vya upinzani ambao ndio kikwazo kikubwa kwa upinzani kushika dola. Kuthibitisha hili ninaloandika hapa hebu rudisha akili yako nyuma mwaka 2005, CUF ilikuwa na nguvu na almanusura kishike dola kama sio Tanzania nzima basi Zanzibar lkn kilichotokea mliona, ilifanyika figisu ya kupakiza majambia ndan ya meli (bila shaka Lipumba alikuwa anafaham kinachoendelea) na baada ya hapo kilichotokea ni kukamatwa majambia na CCM kuitumia hiyo kete kupata ushindi wa kishindo. Mwaka 2015 huu ndio ulikuwa mwaka wa mwisho kwa CCM kubaki madarakan maana mpk wasomi na wafanyakaz mbali mbali walionesha kuchokwa na sera za CCM pamoja na CCM yenyewe, lkn kilichofanyika kila mtu anajua ukiwemo mleta mada, mwenyekiti Mbowe aliacha watu waliokipigania chama miaka mingi kwa jasho na damu kama kina dr Slaa nk, watu waliokisadia chama kujenga misingi imara ya uongozi chamani na kuleta sera nzuri zenye ushindan mkubwa ktk siasa za Tanzania na badala yake akabadili gia angani kwa kuleta watu ambao hawakuwa na sifa za kuweza kushinda uchaguzi ule wala kuongoza nchi eti ndo wagombee uraisi, ubunge nk (pia hapa naamini Mbowe na yeye alikuwa anajua kama hawatoshinda lkn alifanya vile kwa sababu ambazo zitabaki kuwa ni siri yake yeye na wahusika wenzake) . Mwaka 2000 ndio kbs wagombea wa upinzani badala ya kutangaza sera zao wao walikuwa wanatangaza matatizo yao, so kwa style hii CCM kutoka ni ndoto nadhan hata mleta mada moyoni unakiri hili!
Usidhani watu wote ni hamnazo kama wew
 
Kifo cha jiwe bado furaha imo moyoni mwangu..

Uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kijinga sana..

Katiba mpya + Tume huru ndio hitaji la moyo wangu kwa sasa kama mwananchi.

Bunge la Ndugai na Gwajima hovyo tupu
 
CCM wanajua fika kuitoa Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi ni sawa na kujitia kitanzi wenyewe.

Tume itabakia ndoto kwa watanzania na rasimu ya katiba mpya itabakia wenye makabati yao pale Lumumba.

Watanzania katiba mpya hudaiwa...tume huru pia hudaiwa - sasa ni kuamua kukaa kimya kusubiri uamuzi wa mahakama ama kusimama na kudai haki hii..
 
Kifo cha jiwe bado furaha imo moyoni mwangu..

Uchaguzi wa 2020 ulikuwa wa kijinga sana..

Katiba mpya + Tume huru ndio hitaji la moyo wangu kwa sasa kama mwananchi.

Bunge la Ndugai na Gwajima hovyo tupu
Katika mambo ya kijinga aliyoyafanya huyo jamaa ni huo uchaguzi mkuu!! Hovyo kabisa!! Unyama mtupu!!
 
Mwaka 2020 october Muulize Mwendazake nini kingemtokea. Mbinu ya mwisho kabisa ni ile ikiyotumika. Sijui 2025 watakuja na ipi.
Mtajiliwaza hivyo hata baada ya uchaguzi was 2030. Hakuna chama cha upinzani cha kuiondoa CCM madarakani Jana, Leo wala kesho!
 
Chawa wa Taifa hili CCM 2025 kama wakitaka wasitake wanaondoka na tutawabanja kikwelikweli, na wito wanaoikataa CCM waikatae kuanzia sasa,kama upo CCM basi huko hakukufai hama na mapema,mambo ya kudandia mmeyaona,Nyarandu kawekwa pembeni,Membe kamembuka eti leo ndio wamejua kama nyimbo walizokuja nazo haziimbiki ugenini,wamerudi zao bila ya kurudishwa,kwa hiari yao wametokwa na kauli tata na wasiojielewa wakazivamia,nyimbo haiimbiki ugenini.

CCM ni makundi makundi , yamejivisha ngozi ya kondoo kwa sasa,tunaona Mwenyekiti wa CCM anavyookoteza,ni wazi anapapasa kizani,na 2025 wahafidhina wanampiga na chini ili kuchomeka mtu wao.

Heshima ya Raisi Samia ni kuweka mazingira mazuri ya uchaguzi tume huru na katika ili kuisaidia Nchi yake ya Zanzibar,anatakiwa afahamu tu ardhi na mbingu ni vitu viwili tofauti na waswahili wanamsemo mtu kwao,Bwana yule kajenga kwao mpaka uwanja wa ndege ,wewe nawe ijenge kwenu kwa kuweka katiba sawa.

Ila kwa ujumla CCM tunaipiga na chini huku Tanganyika. 2020 imetosha.
Never kwa tume hii ya bwana mahera?
 
Chawa wa Taifa hili CCM 2025 kama wakitaka wasitake wanaondoka na tutawabanja kikwelikweli, na wito wanaoikataa CCM waikatae kuanzia sasa,kama upo CCM basi huko hakukufai hama na mapema,mambo ya kudandia mmeyaona,Nyarandu kawekwa pembeni,Membe kamembuka eti leo ndio wamejua kama nyimbo walizokuja nazo haziimbiki ugenini,wamerudi zao bila ya kurudishwa,kwa hiari yao wametokwa na kauli tata na wasiojielewa wakazivamia,nyimbo haiimbiki ugenini.

CCM ni makundi makundi , yamejivisha ngozi ya kondoo kwa sasa,tunaona Mwenyekiti wa CCM anavyookoteza,ni wazi anapapasa kizani,na 2025 wahafidhina wanampiga na chini ili kuchomeka mtu wao.

Heshima ya Raisi Samia ni kuweka mazingira mazuri ya uchaguzi tume huru na katika ili kuisaidia Nchi yake ya Zanzibar,anatakiwa afahamu tu ardhi na mbingu ni vitu viwili tofauti na waswahili wanamsemo mtu kwao,Bwana yule kajenga kwao mpaka uwanja wa ndege ,wewe nawe ijenge kwenu kwa kuweka katiba sawa.

Ila kwa ujumla CCM tunaipiga na chini huku Tanganyika. 2020 imetosha.
Tukipata tume huru tu inatosha kuwapa maumivu ccm
 
CCM wanajua fika kuitoa Tume huru ya uchaguzi kwa wananchi ni sawa na kujitia kitanzi wenyewe.

Tume itabakia ndoto kwa watanzania na rasimu ya katiba mpya itabakia wenye makabati yao pale Lumumba.

Watanzania katiba mpya hudaiwa...tume huru pia hudaiwa - sasa ni kuamua kukaa kimya kusubiri uamuzi wa mahakama ama kusimama na kudai haki hii..
Jaribuni kudai by force mkione cha mtema kuni
 
Back
Top Bottom