Criss
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 1,959
- 3,162
Watu wanatufyagia tena kwa macho makavu halafu sisi tunawabembeleza watutendee haki ,kama siyo ukichaa ni nini?
Kama Taifa zima linakosa hata wanaume watano tu wakuweza kuirejesha heshima kwenye misingi yake , tunatofauti gani na jamii ya mashoga ?š
Hivi inatuingia akilini Taifa zima liwe la kuwekeza matumaini kwa wanawake wale mitandaoni au kutegemea kukombolewa na Jeshi ambalo linama process kibao ili liweze kupoka madaraka.
Seriously nasisi tunaweza kujihesabu ni miongoni mwa wanaume.
Wanaume kweli tuliyo na uwezo wa kunyanyua mishipa ya damu na bado tukawa na uwezo wa wakuvumilia kuokotwa mmoja mmoja kama makuku bandani?
Kama Taifa zima linakosa hata wanaume watano tu wakuweza kuirejesha heshima kwenye misingi yake , tunatofauti gani na jamii ya mashoga ?š
Hivi inatuingia akilini Taifa zima liwe la kuwekeza matumaini kwa wanawake wale mitandaoni au kutegemea kukombolewa na Jeshi ambalo linama process kibao ili liweze kupoka madaraka.
Seriously nasisi tunaweza kujihesabu ni miongoni mwa wanaume.
Wanaume kweli tuliyo na uwezo wa kunyanyua mishipa ya damu na bado tukawa na uwezo wa wakuvumilia kuokotwa mmoja mmoja kama makuku bandani?