kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,303
- 12,600
Waamuzi wana mchango mkubwa katika kuinua kiwango cha mpira nchini. Waamuzi pia ni wanachama na mashabiki wa timu fulani nchini tangu utotoni, hivyo ni rahisi kuisaidia timu yake inapokuwa uwanjani. Kuondoka na tabia hii nchi za Africa Mashariki zibadilishane waamuzi wa ligi kuu ili kupunguza upendeleo unaotokana na mahaba ya mwamuzi kwa club zao. Inabidi waamuzi wa huku wakachezeshe kule na wa kule waje kuchezesha huku, hii inaweza kusaidia mpira wa kanda hii