Kuingiza Pesa Mtandaoni Kupitia Blogging: Muongozo Kamili

Kuchoka hamna, mkuu. Point ya kuanzisha thread ilikua kushare maarifa kwenye topic husika.Ko maswali yakiwepo, uliza 😁

Nimekupata. Kuliko kucomplicate mambo kuna kitu inaitwa, subdomain. Ukinunua domain, let's say www.kainetics.com na ukaipea hosting, nadhani unayo ruksa ya kuitegenezea subdomain 20 kwa plan ndogo kabisa au unlimited kwa business plan.

Cha kufanya, domain yako ya msingi, bdo inakua site ya kingereza, yaani site kuu. Na inakuwa kwa Kingereza. Then unaweza tengeneza subdomain maalumu kwa ajili ya content za kiswahili, zipo option mbili, either iwe SUFFIX au PREFIX.

Mfano;

Kifupisho cha lugha ya Kiswahili, huwa SW. Hivyo unaenda unda prefixed subdomain ya sw.kainetics.com ukacopy design nzima ya kainetics.com lakini badala ya kuweka content za Kingereza, ukaweka za Kiswahili. Google hawatokuwa na muda nayo.


Option B ni ya kutumia Suffixed subdomain. Mfano ukitembelea bbc.com, utakutana na site ya kingereza. Ila ukitembelea bbc.com/swahili utakutana na content zile zile ila kwa Kiswahili. Unaweza fanya vivyo hivyo kwako pia, as long as files za hizo sites mbili ziko kwa directory tofauti.


Hivyo, kainetics.com inaweza kuwa na aidha sw.kainetics.com au tz.kainetics.com au subdomain yoyote ile. AU kainetics.com/sw au kainetics.com/tz au kainetics.com/swahili zote ni sawa as long as directory zake zijitegemee. Then hutokuwa na shida na Adsense au Adsterra au InfoLinks 🙂
Hapa nimekupata mkuu, shukran.

Jana nilipita wordpress nikachagua domain na hosting plan, hapa nataka nipachague premium theme kali then nilipie. Mdogo mdogo.
 
Hapa nimekupata mkuu, shukran.

Jana nilipita wordpress nikachagua domain na hosting plan, hapa nataka nipachague premium theme kali then nilipie. Mdogo mdogo.
Kama WordPress unayosemea ni ya .com hamna. Nenda NameCheap nunua WP Hosting, itainstall WordPress CMS ndo utumie.

Hio .com ni kampuni private.
 
WordPress ziko aina mbili, ipo WordPress.com na WordPress.org . Hio WordPress.com ni self-hosted so haina tofauti sana na Blogger though imeizidi, maana inayo library kubwa ya Plugins na Themes zinazoweza fanya blog yako ifanye mambo ambayo huwezi fanya kwenye Blogger.

Ila WordPress nayosemea mimi, na wengi ni hio org, maan ni Open Source hivyo huboreshwa kila siku, ukiwa na hosting yako na domain ni kuiinstall na unaweza fanya karibia kila aina ya tovuti (ziwe directories, Ecommerce, memberships, sites za kustream nyimbo, sites za biashara na makampuni, portfolios, etc) so iko powerful kuliko hio Blogger ambako kikubwa unachoweza fanya ni kuandika tu.

Features zote unazopata + Plugins zote zinakupa namna karibia 50 za kuingiza hela na tovuti yako, mbali na matangazo —ukiwa creative.

For more context unaeza Google "WordPress.com vs WordPress.org vs Blogger"
Napenda kufungulia hio WordPress Org maana Niche nayotaka deal nayo nataka niipangilie Kama mtirirko wa Modules content zilizoshiba, photos na graphics kali.
 
Uko serious mkuu? 😁

Vizuri kama umetengeneza blog, lakini hio part naona una post moja, hivyo hujachukua mi ushauri yote nliyotoa.

Tenga muda andika posts ndefu na zilizopangiliwa vizuri plus kuambatanishwa na picha. Walau 15-30.

Numua domain, TLD yeyote ile . Naona umetumia hio Blogger, so domain i replace subdomain ulopewa.

Tafuta template ilotulia, design logo nzuri.


Na mengine yote nliyoojaribu gusia, then uone. Bado mapema kua na expectagions zozote kama ndo unaanza, jipe muda ufanye hayo yote et.
Sina shaka na Faida ya haraka kabisa hata ichukue miezi sita ila nataka haraka kwenye Progress na Smart move.
Uko serious mkuu? 😁

Vizuri kama umetengeneza blog, lakini hio part naona una post moja, hivyo hujachukua mi ushauri yote nliyotoa.

Tenga muda andika posts ndefu na zilizopangiliwa vizuri plus kuambatanishwa na picha. Walau 15-30.

Numua domain, TLD yeyote ile . Naona umetumia hio Blogger, so domain i replace subdomain ulopewa.

Tafuta template ilotulia, design logo nzuri.


Na mengine yote nliyoojaribu gusia, then uone. Bado mapema kua na expectagions zozote kama ndo unaanza, jipe muda ufanye hayo yote et.
Nilikuwa najaribu, najitahidi niandae Post zaidi ya 60 kwenye data base yangu zilizoshiba huku nikijifunza mdogomdogo SEO na thing zinavyo work.

Swali 1:
ku post kabla ya kulipia Domain ni Nzuri au mbaya ??

Swali 2:
WordPress.com naona huwezi endelea bila kulipia Domain je hiyo WordPress.org unaweza kufungua Blog ikawa Live then ulipie Domain baadae.
 
Aisee umeandika kwa lugha ngumu hapa.
Hello, ndipo nakua free kidogo. Iko hivi, WordPress ilianza kama open source code then ikageuka community, kuwa kuna mamillion ya ma developers mtandaoni wanaoshare code kuiboresha, na mtu yeyote anaweza itumia bure. Hii ndio utaikuta kwenye WordPress.org.

Ila, ili uweze itumia, utahitaji domain na hosting ambavyo ni vya kulipa. Ukiwa na hivyo, hii WordPress unatumia bute na utaikuta karibia kwenye kila Host kama installable software.

Sema, kwa kuwa ni open-source, ina maanisha mwanzilishi alikua hapati hela yoyote hivyo akafungua kampuni pembeni qkaliita Automatic, ndio hawa wakaleta WordPress.com

Ina maana walotaka kutumia WordPress ni wengi ila mambo ya kununua Hosting na Domain na kuinstall hio WordPress kwenye cPanel yalikua yanachanganya wengi. Hivyo WordPress.com ndo kama suluhu,

Ui yake ni simple kunavigate na ukinunua plan yoyote ile ina hosting ma domain included. Sema owa kuwa ni self hosted kuna mambo mengi ambayo hutokua na access nayo. Mainly cPanel.


Hivyo mambo za msingi kama kuweka ownership verification tags kutoka Google Search Console au Google Analytics itakuwia ngumu, hutoweza modify mambo kama upload limit, memory size, nk. Hutoweza tumia cron jobs na third party plugins za kununua mfano kutoka CodeCanyom.

Hayo mambo yote yanaifanya iwe ngumu wewe kutumia Adsense, so hii ni blogging option kwa wanaotaka ka website minimal kasiko na mambo mengi ya kiufundi. So iko suitable kwa wamama na wale wasio na idea kwenye kutumia internet au computer vizuri. Ndo maana sio nzuri kutumia. Nikisema .com namaanisha WordPress.com

Nikiwa nakuchanganya bado mkuu waeza giogle tofauti kati ya hizi WordPress mbili. Utaelewa zaidi
 
Sina shaka na Faida ya haraka kabisa hata ichukue miezi sita ila nataka haraka kwenye Progress na Smart move.

Nilikuwa najaribu, najitahidi niandae Post zaidi ya 60 kwenye data base yangu zilizoshiba huku nikijifunza mdogomdogo SEO na thing zinavyo work.

Swali 1:
ku post kabla ya kulipia Domain ni Nzuri au mbaya ??

Swali 2:
WordPress.com naona huwezi endelea bila kulipia Domain je hiyo WordPress.org unaweza kufungua Blog ikawa Live then ulipie Domain baadae.
Hopefully nimekujibu vizuri
 
Yeah, hapa pia tunaomba atuelekeze, ni namna gani hizo .com, .net, .io, .me etc zina affect uendeshwaji wa blog.

Au sijui anazungumzia ile wordpress.com yenyewe!?
.com nlikua nazungumzia WordPress.com, domain haihusiani na mafanikio ya blog yako in general
 
UPWORK E-BOOK BURE

E-BOOK inayoelezea Upwork kwa wale wanaotaka fanya Freelancing nakutumia buree

Nicheki PM offa leo na kesho tu
 
✍ Kwa wale wanaotaka nunua domain na hosting lakin hawana kadi ya bank iliyo functional kufanya manunuzi online au PayPal, mnaweza tumia M-Pesa Mastercard.

✍ Utaenda Menu ya Mpesa (*150*00#)
Kisha utachagua Namba 4. Lipa kwa M-Pesa.

✍ Kwenye hio Menu utachagua namba 6, M-Pesa Mastercard then Namba moja, tengeneza kadi.

Utapta Pop up ina Card Number, Expiry Date na CVV . Hio ndo Card yako.

✍ Kueka hela kwenye Card, utapitia Menu hio hio ya Lipa>M-Pesa Mastercard kisha uchague Weka Pesa kwenye card. Utaweka Kiasi na kuweka PIN yako ya M-Pesa, done.

Card husika itakua inaweza nunua chochote online. Kwa kuanzia weka pesa yenye thamani ya walau $15($4 iende kwenye domain, $11 iende kwenye miezi miwili ya Hosting) so Tsh34,000. Japo unaweza weka zaidi kulindana na Hosting Plan utakayonunua.


Pia card husika unaweza ilink directly na PayPal hivyo ukawa unalipa moja kwa moja kutumia PayPal. Ukifanya muamala utakuwa unapokea sms kawaida kwa simu. Na kwa baadhi ya sites utakua unatumiwa confirmation PIN.
 
Mkuu mimi nataka niingie youtube ila changamoto kwenye video editing ni mweupe kabisa, content ninayo na sina shaka kabisa kuhusu hilo...! Msaada wako kwenye hili
 
Online Business, Kuanza fanya kazi Upwork Ebook 3500
20220830_125423.jpg
 
maelezo mazuri sana. na mm niulize hapa, hivi nikiwa na blog nikaandika makala zangu na zikawa na average click ya 90k per month naweza kulipwa bei gani na Google? Au niulize, Google wanalipa Pesa kiasi gani kwa kila click rate (CTR).



Kingine, kati ya matangazo na Click rate ni kipi kinacholipa zaidi?
 
Mkuu mimi nataka niingie youtube ila changamoto kwenye video editing ni mweupe kabisa, content ninayo na sina shaka kabisa kuhusu hilo...! Msaada wako kwenye hili
Video editing, kama una pc unaweza anza na basic software ambazo ziko special kwa Beginners kama Wondershare Filmora au Movavi. Kama wepesi huuoni waweza pitia videos Youtube zinaoelezea namna ya kuzitumia software husika.


Kwa simu ipo, Filmora Go, CapCut, PowerDirector, nazo ni nyepesi kutumia
 
maelezo mazuri sana. na mm niulize hapa, hivi nikiwa na blog nikaandika makala zangu na zikawa na average click ya 90k per month naweza kulipwa bei gani na Google? Au niulize, Google wanalipa Pesa kiasi gani kwa kila click rate (CTR).



Kingine, kati ya matangazo na Click rate ni kipi kinacholipa zaidi?
Malipo ambayo unaweza tegemea toka Adsense hayako constant, factor nyingi zunadetermine thamani ya CPC ya blog, yako ikiwa Audience yako kubwa iko nchi gani, ni paid au ni organic, unaandika kuhusu topics gani, na avg. engagement time per post ikoje.


Unawezackua hata na traffic kubwavya hadi 105k Visits per day, na vado revenue yako ikawa ndogo mno kwa kuwa traffic yako haijachujwa
 
Kwa hyo mnatushauri,tutumie blog gani ili tuweze kulipiwa kwa sababu naambiwa blogger haiwezi ku connect Na Google Adsense especially ikiwa blog yako ni ya Kiswahili.Sasa hapo napata mashaka zaidi.Naombeni mnipe ujuzi zaidi
 
Back
Top Bottom