Kuingiza pesa kwa kuangalia video za watu mtandaoni

Huyo unayembishia ndio bingwa wa mitandao na vifaa vyake humu JF. Nyinyi wakuja kutoka Chitohori mkimbishia huwa hamtoboi na mnakaa kimya wala hamleti mrejesho. Kwa akili za darasa la saba tu, nani atakupa $1 kwa kutazama video yake?

Yani kuna biashara gani uliwahi ona anayefaidika ndiye analipwa hela. Unaenda cinema ukitegemea kulipwa, yani watu wamekosa biashara za kufanya wameamua watumie muda kutengeneza graphics na kuandaa video clips ili utazame bure na ulipwe? Hizo Geopoll na Spenn tumeona na hela wanayotoa ni kidogo na kazi inayofanywa inajulikana. Sasa kwenye kutazama video kuna nini unamuongezea mwandaaji

Kuna mmoja hapo kakushauri jifunze blogging ili upate hela za AdSense na advertisers. Huwezi kalisha mapumbu chini na tekno yako unasubiri mwanaume akulipe kwa kiherehere chako cha kutazama video. Na ulivyo hamnazo kuna hela umeambiwa utangulize kama mbegu ili zizaane. Hebu tumia elimu usitumie vyeti.

Nimetumia lugha kali ili usijiendekeze na kutegemea hela za bure ila ukikaza kichwa shingo itakayovunjika ni yako.
Sijakataa kwamba anajua, lakini hawezi jua kila kitu online acha ulimbukeni anachoniambia ni fact kabisa lakin sio kwa viwango hvo ambavyo mm naielewa mitandao ndo maana nampinga anaposema haijawah tokea kitu kama hio kwamba unalipwa kwa kuangalia vidio za watu Enewei yey ni IT gan kama haya mambo nnayoongea hayajui mnanisikitisha sana
 
Blogging inahtaji kazi kubwa me nataka kutengeneza Free online tool, au Online Forum , wew una blog??
sasa online forum unaona ni kitu rahisi? kuanzia kuitengeneza mpaka kuifanyia marketing lazma utumie nguvu na cost kubwa ikubalike
 
Mkuu nalokwambiaa nalijua, wao wanakusanya data wewe unajaza uongo lakini wao lengo lao ni kukusanya data za kweli.
Mimi nishawahi kuwa coordinator wa survey za tz za geopol kwa miezi sita mwaka jana hiyo so najua ninachokwambia.
Hakuna nisichojua kuhusu earning money online kwasababu ndiyo kazi yangu rasmi hivyo naweza kusema najua what works and what doesn't.
Sawa blaza nakubali lakini hichi nilichokwambia kwamba unalipwa kwa kuangalia vidio za watu ifatilie afu utoe mrejesho mwenyew kama hicho kitu hakijawah tokea afu istoshe saiv had kuna app inafanya kaz kama sportfy yan kadri unavosikirza mizik online unalipwa,, blaza nmeambiwa mambo ya online unayajua vizuri lakn kwa hili embu fatilia kwanza

Nimeulizia huku niljua kuna watu wanaweza jua njia nyingine ambao haijakua public sana coz njia ikiwa public sana inakua blocked na wenye Web au site ndo maana hili swali sijalifatilia kwa kusearch google wala youtube nkaona nije huku kwenye privacy tofauti na kule kaka
 
Sawa blaza nakubali lakini hichi nilichokwambia kwamba unalipwa kwa kuangalia vidio za watu ifatilie afu utoe mrejesho mwenyew kama hicho kitu hakijawah tokea afu istoshe saiv had kuna app inafanya kaz kama sportfy yan kadri unavosikirza mizik online unalipwa,, blaza nmeambiwa mambo ya online unayajua vizuri lakn kwa hili embu fatilia kwanza

Nimeulizia huku niljua kuna watu wanaweza jua njia nyingine ambao haijakua public sana coz njia ikiwa public sana inakua blocked na wenye Web au site ndo maana hili swali sijalifatilia kwa kusearch google wala youtube nkaona nije huku kwenye privacy tofauti na kule kaka
Mkuu hakuna mtu anatoa pesa bure. Wewe unahisi kwa kutazama hiyo video akulipe yeye anapata faida gani?
Maana pesa anayokulipa ni nyingi kuliko hata inayolipwa na Google adsense au FB ads.
Sasa wao wanapata faida gani?
Mkuu mimi nitakushauri kitu.
Ukitaka kupata pesa pesa kweli online achana na hizi shortcut sijui za referal link, sijui kutazama video ulipwe. Fanya kazi kweli ambazo unaona kabisa nastahili kulipwa.
 
sasa online forum unaona ni kitu rahisi? kuanzia kuitengeneza mpaka kuifanyia marketing lazma utumie nguvu na cost kubwa ikubalike
Mi nnavyoona nntapata Cost mwanzoni lakini baadae forum ikishakamilika ntapata faida afu bila kutoa jasho kwasabab Blog inahitaji mtu uwe na Content ambayo itawavutia watu kuitembelea na inatakiwa kwa wiki angalau upost mara 3 content za maana, lakin kwenye forum au free online tool site yan ikishakamilika kwenye kila kitu kama promotion, na hzo cost zngne za marketing watu watakavyokua wanaitumia we ndo unaingiza ela hata kama usipo kua unaitumia wala haiitaji content yyte ya kuandika. Haya ni maono yangu mm coz sinaga content
 
Mkuu hakuna mtu anatoa pesa bure. Wewe unahisi kwa kutazama hiyo video akulipe yeye anapata faida gani?
Maana pesa anayokulipa ni nyingi kuliko hata inayolipwa na Google adsense au FB ads.
Sasa wao wanapata faida gani?
Mkuu mimi nitakushauri kitu.
Ukitaka kupata pesa pesa kweli online achana na hizi shortcut sijui za referal link, sijui kutazama video ulipwe. Fanya kazi kweli ambazo unaona kabisa nastahili kulipwa.
kaka embu fatilia kwanza hii inshu unanibishia nimeifanya muda sana mwenyewe na pesa zao nimekula sana sio kwamba naongea tu bure
 
  • Thanks
Reactions: Tif
Mh basi kama umekula sawa
Ngoja niliweke sawa tu anayekulipa sio mwenye vidio ila ukishaingia kwenye web au app yao kunakipengele hicho cha kuangalia vidio Asa ukiingia kule ukiangalia vidio unalipwa inakua hamna tofauti na unavyofanya survey sema hela inakua kubwa kidogo.
 
Ngoja niliweke sawa tu anayekulipa sio mwenye vidio ila ukishaingia kwenye web au app yao kunakipengele hicho cha kuangalia vidio Asa ukiingia kule ukiangalia vidio unalipwa inakua hamna tofauti na unavyofanya survey sema hela inakua kubwa kidogo.
Yani swali ni kwanini mwenye app alipe ela nyingi kuliko ambayo inatolewa na kampuni nyingine zote za matangazo. Sasa yeye anapata faida gani.
Kampuni ya survey inayolipa pesa nzuri ni opinion panel
 
Kwenye maswala ya faida sijui kampuni inapata faida gani lakini pale hawawezi kuweka hio option bila faida
 
Mi nnavyoona nntapata Cost mwanzoni lakini baadae forum ikishakamilika ntapata faida afu bila kutoa jasho kwasabab Blog inahitaji mtu uwe na Content ambayo itawavutia watu kuitembelea na inatakiwa kwa wiki angalau upost mara 3 content za maana, lakin kwenye forum au free online tool site yan ikishakamilika kwenye kila kitu kama promotion, na hzo cost zngne za marketing watu watakavyokua wanaitumia we ndo unaingiza ela hata kama usipo kua unaitumia wala haiitaji content yyte ya kuandika. Haya ni maono yangu mm coz sinaga content
Ni kweli ila forum lazma uwe na moderators or kwa mwanzon wewe ndio uact kama miderator na kuangalia codes zako kama zipo sawa so forum sio rahisi usione leo jf, quora, blackhatforum, worrior wanafuraia matunda waliinvest time na money ila kama unahisi ni kitu rahisi jaribu utakuja kuleta mrejesho humu.
Nakwambia kama pro wa haya mambo nina BEng in computer engineering na digital marketing na SEO nina shortcourses za online za kutosha, njia rahsi ya gharama ndogo ni blog atleast haiwez kuzid 500k ili iwe professionally but forum lazma ata kuhost ununue plan ya kutosha na CDN ya uhakika ulipie.
 
Ni kweli ila forum lazma uwe na moderators or kwa mwanzon wewe ndio uact kama miderator na kuangalia codes zako kama zipo sawa so forum sio rahisi usione leo jf, quora, blackhatforum, worrior wanafuraia matunda waliinvest time na money ila kama unahisi ni kitu rahisi jaribu utakuja kuleta mrejesho humu.
Nakwambia kama pro wa haya mambo nina BEng in computer engineering na digital marketing na SEO nina shortcourses za online za kutosha, njia rahsi ya gharama ndogo ni blog atleast haiwez kuzid 500k ili iwe professionally but forum lazma ata kuhost ununue plan ya kutosha na CDN ya uhakika ulipie.
Duh!! Mbn mambo magumu sasa, Vp kuhusu free online tool
 
Sijakataa kwamba anajua, lakini hawezi jua kila kitu online acha ulimbukeni anachoniambia ni fact kabisa lakin sio kwa viwango hvo ambavyo mm naielewa mitandao ndo maana nampinga anaposema haijawah tokea kitu kama hio kwamba unalipwa kwa kuangalia vidio za watu Enewei yey ni IT gan kama haya mambo nnayoongea hayajui mnanisikitisha sana
Sasa kama unajua umekuja kuuliza nini. Sisi tunakwambia kwa hela hizo unazoota huwezi kupata. Mtu ashindwe kulipa dola chache Facebook na Instagram aje kukupa wewe hela za bure nyingi hivo.

Hebu tutumie akili kidogo kufikiri, unalipwa $1 kwa kutazama video? Unalipwa TZS 2300 kutazama video? Kwahiyo mtu alinunua camera, akafanya graphics, akaedit na kazi zote ili aje akuoneshe kisha ulipwe. Biashara gani hizo
 
Survey savvy ndio waliwahi kunilipa $120 ila nilifanya kazi miez 2 ndio nikatoa but hz zngne ni kupoteza muda.
Survey savvy kuna survey moja unakuta $20 ila nying n kwa wakaz wa USA tu ila za mataifa mengine unakuta ni $3 or chn
 
Sasa kama unajua umekuja kuuliza nini. Sisi tunakwambia kwa hela hizo unazoota huwezi kupata. Mtu ashindwe kulipa dola chache Facebook na Instagram aje kukupa wewe hela za bure nyingi hivo.

Hebu tutumie akili kidogo kufikiri, unalipwa $1 kwa kutazama video? Unalipwa TZS 2300 kutazama video? Kwahiyo mtu alinunua camera, akafanya graphics, akaedit na kazi zote ili aje akuoneshe kisha ulipwe. Biashara gani hizo
Twende kisomi, acha ubishi fanya research afu ndo uje tuongee acha ubishi wa Simba na Yanga. Fanya research kwanza ukiona kwamba hichi kitu hakijawahi kuepo ndo uje nikupe proof namba gani tulifanya hio michezo Fair enough fanya upitie kwanza hizo post zangu hapo juu uelewe sijasema mwennye vidio ndo anakulipa nafikiri husomi vizuri unataka ubishi tu
 
Survey savvy ndio waliwahi kunilipa $120 ila nilifanya kazi miez 2 ndio nikatoa but hz zngne ni kupoteza muda.
Survey savvy kuna survey moja unakuta $20 ila nying n kwa wakaz wa USA tu ila za mataifa mengine unakuta ni $3 or chn
So kaka mpka saiv bdo unafanya Survey??
 
Back
Top Bottom