ligendayika
JF-Expert Member
- Aug 31, 2012
- 1,183
- 198
nimemsikia msemaji wa Polis ambae nimelishika jina la kwanza ADVERA (ITV habari za saa saa 9.00adhuhuri)akisema polisi imeanzisha mtandao wa kuwashika natapeli wanaochukua pesa za watu kwa ahadi ya kuwapa ajira polisi sasa wasiwasi wangu ni kwamba kuna kundi kubwa la polis wanaoingia kazi hii ya polis kwa migongo ya ndugu zao waliopo ndani ya polis je hii nayo si sawa na rushwa je watanzania wasio na ndugu huko ajira hii wataipata