chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,720
Ni kichekesho sana kusikia mtu akishtaki hospitali isiyo ya Serikali kuwa wana bei. Basi V8 na Passo ziwe bei sawa na tupeleke polisi japani kuwashitaki maana yote ni magari.
Tunajua soko huria kila mtu anapanga bei yake kutokana na sera ya private service sector (PSS) kulingana na huduma na mpaka kimefika pale, serikali jukumu lao ni kodi ambayo taasisi yenu TRA kuleta hesabu zenu inatakiwa kutozwa vipi.
Suala ambalo nimeshangaa kuishutumu tena kufungua jalada kama si la “hujumu uchumi” maana hakuna zaidi ya hilo. Kutaka kulinganisha hospitali zenu na za watu binafsi ziwe sawa ningependa kuona labda mmekuta Muhimbili ilo suala mkataamaki maana hii si private sector service.
Tunajua soko huria kila mtu anapanga bei yake kutokana na sera ya private service sector (PSS) kulingana na huduma na mpaka kimefika pale, serikali jukumu lao ni kodi ambayo taasisi yenu TRA kuleta hesabu zenu inatakiwa kutozwa vipi.
Suala ambalo nimeshangaa kuishutumu tena kufungua jalada kama si la “hujumu uchumi” maana hakuna zaidi ya hilo. Kutaka kulinganisha hospitali zenu na za watu binafsi ziwe sawa ningependa kuona labda mmekuta Muhimbili ilo suala mkataamaki maana hii si private sector service.