Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,834
- 155,782
Hebu fikiria,
umetoka kwenye maisha ya kuchungwa na baba na mama, hali kadhalika hujafurahia maisha na wala huyajui kwani ulikuwa masomoni kwa muda wote.
Halafu ghafla unaingia kwenye kifungo kingine cha ndoa, hii ni sawa kabisa na kuingia kwenye disco la kukeshasaa mbili na nusu usiku na kisha kutoka saa tatu usiku.
Ili uwe kijana uliye mkamilifu, ni lazima uenjoy maisha yako mwenyewe na uhuru wako binafsi.
umetoka kwenye maisha ya kuchungwa na baba na mama, hali kadhalika hujafurahia maisha na wala huyajui kwani ulikuwa masomoni kwa muda wote.
Halafu ghafla unaingia kwenye kifungo kingine cha ndoa, hii ni sawa kabisa na kuingia kwenye disco la kukeshasaa mbili na nusu usiku na kisha kutoka saa tatu usiku.
Ili uwe kijana uliye mkamilifu, ni lazima uenjoy maisha yako mwenyewe na uhuru wako binafsi.